Unachekesha sana, kwa hiyo Magufuli anatekeleza matakwa ya chadema? Na inakuwaje useme bidhaa pendwa ya ccm inapitishwa na sukari na bado haikatwi? CCm ilikaa na listi ya wauza ganda mpaka vijana wengi nchi wamekufa na kuwa mazezeta leo unailaumu chadema? Chadema ndio ina idara ya usalama wa taifa kuweza kulishugulikia hili? Kalagabaho!Walioanza kulilia sukari bungeni na kwenye mitandao ya kijamii ni kina nani kama sio Chadema ambayo imekosa hoja zenye mashiko za kuwapa wananchi?
By the way tunajua kuwa ndani ya hiyo sukari kuna bidhaa inayoharibu vijana wetu (ngada)inapitia kwa style hiyo hiyo ..
kwa hiyo hii ni vita kamali dhidi ya wengi!!