TRA kunani nijuzeni jamani..!

Mwanahisa

JF-Expert Member
Jun 29, 2012
1,382
510
Huyu jirani yangu kijana mdogo tu kaanza kazi hana miaka miwili ofisini,
TRA long room kunani?
attachment.php
 

Attachments

  • jirani wa TRA.jpg
    jirani wa TRA.jpg
    13 KB · Views: 954
emma-chriss hiyo ni parking lot yake inatizamana na ninapoishi,
hizo gari ni zake, sio kua ziko unregistered ila mm ndo nimefuta number kwani ana haki ya privacy. DULLAH B. wivu ninao ila sio wakike ni wa maendeleo tu mkuu.
 
Last edited by a moderator:
kbosho sijachunguza mkuu
mjini shule ila dar chuo kikuu mkuu.
 
Last edited by a moderator:
sure mkuu...ila waweza kuta jamaa kischwani yupo vizuri, pia ana shule ya kutosha....pia pengine ameingia pale fasta fasta amechukuwa mikopo mikubwa na akafanya mambo makubwa. au ndio hivyo tena yaweza yakawa mambo ya RUSHWA.
 
Hana miaka 2 kazini halafu magari yakutosha,daaa kweli tunasafari ndefu hapa tz,maswali ni mengi kuliko majibu tutakayopata.
 
Wivu sasa huyo jirani yako ameshakujua kumbe ni wewe unayemuwekea tunguli nje ya nyumba yake ili asifanikiwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom