goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,855
- 12,991
Jamani jamani Yale mambo ya network yamerudi tena kwa kasi ya ajabu, nilienda ku-renew leseni yangu na na ku-update baadhi ya madaraja na kulipa gharama zote zinazohitajika lkn ajabu mpaka leo hi sijapata leseni yangu naambiwa tu kuwa mtandao sijui mara network haipo mambo gani haya sasa ?
Tukisema mwendazake Dkt. Magufuli alikuwa mtemi na jeuri na kufanya watu kuchapa kazi mnalalamika kuwa alikuwa Rais mbovu ona sasa mambo yale ya kale yamerudi kwa kasi sana. Nakumbuka kipindi natafuta leseni niliweza kuchukuwa siku moja nikaletewa leseni yangu
TRA nahitaji leseni yangu nataka nikatoe magari mapya bandarini ASAP
Tukisema mwendazake Dkt. Magufuli alikuwa mtemi na jeuri na kufanya watu kuchapa kazi mnalalamika kuwa alikuwa Rais mbovu ona sasa mambo yale ya kale yamerudi kwa kasi sana. Nakumbuka kipindi natafuta leseni niliweza kuchukuwa siku moja nikaletewa leseni yangu
TRA nahitaji leseni yangu nataka nikatoe magari mapya bandarini ASAP