Komba the Great
JF-Expert Member
- Apr 25, 2016
- 324
- 614
Mkuu mbona wamesema kwa nini walikuwa hawajamchunguza?Wamesema waliamini kwamba yeye mapato yake ni sadaka tu,ila sasa kwa kuwa amesema ni tajiri kuliko serikali,basi ni lazima atakuwa na vyanzo vingine vya mapato apart from sadaka kwa kuwa sadaka pekee haziwezi kumtajirisha Mchungaji kiasi hicho.They are after income from those other businesses which have made him richer than the government.
Asije tu akawaambia kuwa yeye ni Tajiri wa Kiroho, na ndio alicho maanisha.