vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
Jana jioni Baada ya Kazi nilienda Kumtembelea Snangazi yangu ambaye anafanya Kazi TRA kitengo cha Human resource.
Tulijadiliana mambo mengi sana yakiwemo ya Maeneo tunayofanyia Kazi.
Alinipa kisa kimoja Kilinistua sana. Ningeomba wahusika mulifanyie kazi hili. nina imani mnaingia humu na kusoma yanayoandikwa.
Kuna kaka mmoja alikua anafanya kazi TRA pale Bandarini kitengo cha ''valuation''.
Kwa wanaojua hao ndio wanahusika na zoezi zima makadirio ya Kodi ya mizigo pale Bandarini.
Jamaa aliandikiwa barua ya kuhamishiwa mikoani, halafu mkoa ambao hakuna Bandari.
Huyu kaka aliamua kwenda HR nakuomba asihamishwe na akaahidi kutoa kitita Cha shs. 15,000,000. kama mlungula ili asihamishwe katika kitengo kile.
Shngazi aliishiwa maneno, ila alimwambia Hataweza kufanya vile coz amri ya uhamisho ilitoka kwa mkuu wake wa kazi na sngazi alikua hana say katika jambo lile.
cha ajabu ni kwamba huyu kaka alikua hajafanya kazi kwenye hichi kitengo kwa muda mrefu.
Pale pameoza rushwa mheshimiwa. Fungukeni macho. Hakuna sehemu nyingine mtaambiwa kuhusu uozo huu Mbali na JF. Chukueni hatua.
Tulijadiliana mambo mengi sana yakiwemo ya Maeneo tunayofanyia Kazi.
Alinipa kisa kimoja Kilinistua sana. Ningeomba wahusika mulifanyie kazi hili. nina imani mnaingia humu na kusoma yanayoandikwa.
Kuna kaka mmoja alikua anafanya kazi TRA pale Bandarini kitengo cha ''valuation''.
Kwa wanaojua hao ndio wanahusika na zoezi zima makadirio ya Kodi ya mizigo pale Bandarini.
Jamaa aliandikiwa barua ya kuhamishiwa mikoani, halafu mkoa ambao hakuna Bandari.
Huyu kaka aliamua kwenda HR nakuomba asihamishwe na akaahidi kutoa kitita Cha shs. 15,000,000. kama mlungula ili asihamishwe katika kitengo kile.
Shngazi aliishiwa maneno, ila alimwambia Hataweza kufanya vile coz amri ya uhamisho ilitoka kwa mkuu wake wa kazi na sngazi alikua hana say katika jambo lile.
cha ajabu ni kwamba huyu kaka alikua hajafanya kazi kwenye hichi kitengo kwa muda mrefu.
Pale pameoza rushwa mheshimiwa. Fungukeni macho. Hakuna sehemu nyingine mtaambiwa kuhusu uozo huu Mbali na JF. Chukueni hatua.