Mbona kuna jamaa namfahamu ameisha anza kazi,na mshahara ameanza kulamba!
dogo acha Masihara. Watu wako Serious.
hata me nimejibu serious mkuu,tena huyo jamaa ni binamu yangu.
pita salama maana watu tuna njaa ya kufa mtu huku mtaani,bora hata mim ningekuwa mwalimu kwani ningekuwa nimepangiwa shule ya kata nafundishaNapita wakuu
hata me nimejibu serious mkuu,tena huyo jamaa ni binamu yangu.
Wahi ukasome, majina yamebandikwa pale geti namba 3True yametoka ila ni katika nafasi za clerk c, medical attendant, sailor, crane operator na nafasi nyingine moja nimeisahau. Ila clerk C yako majina 701. Kazi kwenu wadau...
dogo acha Masihara. Watu wako Serious.