Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,061
- 281
Mh!!!,bei iko juu sana,tena inatoka mkononi mwa mtu wa bongoland,bei hiyo ilikuwa wakati zinaingia ingia,lakini wa sasa zimeshuka sana kwa kasi ya ajabu,ukienda show room mpaka 8.5M unapata!!!
teh teh teh...I guess ilikuwa haitumiki kubebea 'gentlemen'The is in very good condition used by a lady
used by a lady
Wabongo wanaendekeza njaa kali ndo maana asilimia kubwa ni madalali na wanadouble the price mpaka unachoka.Mh!!!,bei iko juu sana,tena inatoka mkononi mwa mtu wa bongoland,bei hiyo ilikuwa wakati zinaingia ingia,lakini wa sasa zimeshuka sana kwa kasi ya ajabu,ukienda show room mpaka 8.5M unapata!!!