Asante mkuu nimekupata vizurHiko kigari ni kigumu sana mimi nakitumia mwaka wa sita huu hakijanisumbua sana mafuta kinatumia vizuri sana ila kikianza kuzingua tafuta fundi mmoja tu atakayekuwa anakirekebisha sio kila fundi, maana injini yake ni ndogo na iko very complicated, kwa ujumla ni gari nzuri na spare zipo nyingi tuu ingawa ziko juu kidogo sbb sio toyota ni daihatsu toyota duet ni jina tuu
Hiko kigari ni kigumu sana mimi nakitumia mwaka wa sita huu hakijanisumbua sana mafuta kinatumia vizuri sana ila kikianza kuzingua tafuta fundi mmoja tu atakayekuwa anakirekebisha sio kila fundi, maana injini yake ni ndogo na iko very complicated, kwa ujumla ni gari nzuri na spare zipo nyingi tuu ingawa ziko juu kidogo sbb sio toyota ni daihatsu toyota duet ni jina tuu
Hivi hua zina share body tu au mpaka Engine?toyota duet ni toyota mzee daiatsu ni daiatsu zimeshea mabody
kama passona boon terios kid na camy
Nimecheka sana...!Starlet zimejaa mjn km tecno
Sawa mkuu nimekusoma, kwanza consumption, unique at kitaa, vilevile na uimara durabilityAngalia kigezo chako ni kipi; fuel consumption au mileage au price n.k.
Ukishajua kigezo chako, basi utalinganisha kati ya starlet, duet na nyinginezo.
Nini