Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,210
- 42,072
Secretarity ya ajira imezindua tovuta ilikuwezesha matangazo ya kazi kufikia watu kwa haraka na pia kupunguza mianya ya rushwa na kuwezesha kupata watumishi wenye sifa stahiki.Kwani nafasi zote za kazi zitakua zikipatikana humu.
Tovuti hiyo iliyozinduliwa jana inaitwa
www.ajira.go.tz
vijana mmehaswa kuitumia kilasiku ili kuwawezesha kupata kazi.
Tovuti hiyo iliyozinduliwa jana inaitwa
www.ajira.go.tz
vijana mmehaswa kuitumia kilasiku ili kuwawezesha kupata kazi.