Mmefanya vema kuwashtua, heri wamearifiwa!Zaidi ya wiki sasa mtandao wa Global Publishers una virus, wahusika sijui hawajui ama ....
Unaipataje hiyo virus? mimi sipati kitu, unatumia browser gani?
Ina maana wamiliki hawafuatilii tovuti yao,huko sasa ndo kutokuwajibika!Mmefanya vema kuwashtua, heri wamearifiwa!
Ina maana wamiliki hawafuatilii tovuti yao,huko sasa ndo kutokuwajibika!