Tourism: Sell EA as single destination

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,931
31,173
Wakuu kuna juhudi kubwa zinafanywa na baadhi ya nchi wanachama wa EAC ambazo zinajua hazina vivutio vya kutosha kama Tanzania soko la utalii liwe moja EAC single tourist destination.

Nimejaribu kutazama baadhi ya National parks za nchi wanachama nikagundua Tanzania ni nchi pekee yenye vivutio vingi kuliko nchi zote za EAC tena ukiangalia takwimu biashara ya utalii inazidi kukua kila mwaka ukilinganisha na nchi nyingine wanachama.

Tanzania ina jumla ya mbuga za wanyama [National Parks]kumi na sita [16] zenye ukubwa wa eneo 60,000 sq km.Eneo hili ni kubwa kuliko nchi za Rwanda na Burundi kwa pamoja ,hii ni mbali na Game reserves na mapori mengi ya akiba ambayo hayatambuliwi rasmi.Mbuga za wanyama Serengeti national park, Ruaha national park na ngorongoro conservation area authority pakee zenye jumla ya eneo 38051 sq km ni kubwa kuliko national parks zote za nchi ya Kenya.Tanzania bado ina nafasi kubwa ya kuanzisha national parks kwasababu mapori ya akiba yapo mengi,nchi nyingine hazina nafasi hii adimu.

Kenya kwa muda mrefu imekuwa ikiwadanganya watalii kwamba mlima Kilimanjaro uko kwao,kulifanya soko la utalii kuwa moja [EAC] ni juhudi nyingine za kuendelea kuwadanganya watalii kwamba baadhi ya vivutio vya utalii vya Tanzania viko Kenya.

Binafsi sioni sababu kwa nchi ya Tanzania kukubaliana na upuuzi wa wajanja wachache kutumia rasilimali [vivutio] vya nchi yetu kwa faida ya nchi wanachama EAC.Tanzania ikatae kama ilivyokataa katika masuala ya ardhi.
 
Hebu punguzeni kutokujiamini huku, inatia aibu wakati mwingine. Hivi pamoja na kuwa na mbuga zote hizo na maeneo yote hayo makubwa na mazuri ya uoto wa asili, je ni watalii wangapi wanatiaga timu hapa kwetu na pia sisi huvuna kiasi gani kutoka kwa watalii wetu? Linganisha takwimu hizi na zile za wenzetu Kenya, Uganda na hata Zanzibar uone aibu.

Sisi ni maneno maneno tu, hatuna lolote la maana. Kama tunataka kuongeza mapato kutokana na utalii kwanini kwanza tusibadilishe mikakati yetu ya kujitangaza? Na pia kwanini tusiwafundishe wenye mahoteli, gesti na waendeshaji wa mbuga zetu vitu kama usimamizi mzuri wa mazingira na jinsi ya kuwa na gharama zinazoakisi hali halisi ya maisha sio tu ya kwetu bali hata ya huko kwa wenzetu.
Leo hii huwezi kumtoza mtu kati ya shilingi laki mbili na milioni kulala usiku mmoja mbugani. Haijalishi ni mtu wa kipato gani au kutoka wapi, hoteli zetu ni ghali sana.

Kingine, wafanyakazi wetu hawajui kutoa huduma nzuri kwa wageni. Na pia kama kweli tunataka kuisadia nchi basi tulazimishe kila kitu kilipiwe katika shilingi na si kukubali fedha za kigeni kama malipo halali ya huduma (Hapa wale waliokuwa wanafuatilia mjadala mzima wa thamani ya shilingi labda wataweza kuelewa sababu hii)
 
Mama Shamsa Selengia Mwangunga yuko bize kwenye kampeni Ubungo hana mipango ya kunusuru utalii tanzania.
 
Hebu punguzeni kutokujiamini huku, inatia aibu wakati mwingine. Hivi pamoja na kuwa na mbuga zote hizo na maeneo yote hayo makubwa na mazuri ya uoto wa asili, je ni watalii wangapi wanatiaga timu hapa kwetu na pia sisi huvuna kiasi gani kutoka kwa watalii wetu? Linganisha takwimu hizi na zile za wenzetu Kenya, Uganda na hata Zanzibar uone aibu.

Sisi ni maneno maneno tu, hatuna lolote la maana. Kama tunataka kuongeza mapato kutokana na utalii kwanini kwanza tusibadilishe mikakati yetu ya kujitangaza? Na pia kwanini tusiwafundishe wenye mahoteli, gesti na waendeshaji wa mbuga zetu vitu kama usimamizi mzuri wa mazingira na jinsi ya kuwa na gharama zinazoakisi hali halisi ya maisha sio tu ya kwetu bali hata ya huko kwa wenzetu.
Leo hii huwezi kumtoza mtu kati ya shilingi laki mbili na milioni kulala usiku mmoja mbugani. Haijalishi ni mtu wa kipato gani au kutoka wapi, hoteli zetu ni ghali sana.

Kingine, wafanyakazi wetu hawajui kutoa huduma nzuri kwa wageni. Na pia kama kweli tunataka kuisadia nchi basi tulazimishe kila kitu kilipiwe katika shilingi na si kukubali fedha za kigeni kama malipo halali ya huduma (Hapa wale waliokuwa wanafuatilia mjadala mzima wa thamani ya shilingi labda wataweza kuelewa sababu hii)

Acha kukurupuka takwimu ziko wazi watalii tanzania wanakuja kwa wingi kuliko unavyowaza,ukitaka kuamini njoo Arusha ujione makampuni ya kusafirisha watalii yanavyopiga bao.Kenya wamestuka ndio maana wanakimbilia EA hawana cha kuuza.
 
Tuboreshe huduma tunazotoa kwanza. Mtu unajutahidi kupiga debe mpaka watu wanakubali kusafiri kwenda kutalii kwetu TZ. Wanavyorudi walliishia kusimulia jinsi huduma zisivyoridhisha; na kuja na picha za ajabuajabu.
 
Hatuhitaji to sale as a single destination what we need is to establish Tanzania as a brand that's all as Hawaii sells itself as Hawaii and not as the US! Tuachane na hawa wajinga wamekosa sera wanalazimisha ati tuuze pamoja! lets full utilize our potentials then when we reach the saturation point we can think of EA as a single destination! I am out of here!
 

Acha kukurupuka takwimu ziko wazi watalii tanzania wanakuja kwa wingi kuliko unavyowaza,ukitaka kuamini njoo Arusha ujione makampuni ya kusafirisha watalii yanavyopiga bao.Kenya wamestuka ndio maana wanakimbilia EA hawana cha kuuza.

Ungesoma ujumbe wangu wa awali usingekurupuka kunijibu bila ya takwimu ila majibu yako hata hivyo yanasaidia kufafanua ujumbe wangu. Sasa ngoja basi nikuwekee takwimu kidogo maana inaelekea wewe una hamu sana na kujua yanayojiri Kenya.

Mwaka Nchi Idadi Ya Wageni Watalii Kutoka Nje

2007 Kenya 1,278,500
2007 Tanzania 719,031

2008 Kenya 936,100
2008 Tanzania 765,000

Sources: http:http://www.knbs.or.ke/, na, kitabu cha hali ya uchumi cha 2008 kwenye mtandao wa NBS .

Kwa bahati mbaya takwimu hizi hazitofautishi wale ambao walitua Zenji kwa minajili ya kujivinjari huko tu.

Mkuu unapoona wageni wengi Arusha si kwa sababu wote wamekuja kutalii, wapo wanaopiga kazi kwenye migodi, miradi kedekede, wanaoishi hapo, wanaotokea Kenya kuja kunusa kidogo tu halafu warudi ambao kila kitu wamelipia huko huko Kenya, na pia kwa sababu Arusha ni mji mdogo hivyo wakati wa misimu ya utalii wakija mamia kadhaa, mji hushindwa kuwaweka wote ndani. Kuna baadhi ya makampuni ya utalii ya Arusha ambayo ni sehemu ya makampuni makubwa ya utalii yenye ofisi hata Kenya, makampuni kama Abercrombie & Kent ni moja yapo.
 
Ungesoma ujumbe wangu wa awali usingekurupuka kunijibu bila ya takwimu ila majibu yako hata hivyo yanasaidia kufafanua ujumbe wangu. Sasa ngoja basi nikuwekee takwimu kidogo maana inaelekea wewe una hamu sana na kujua yanayojiri Kenya.

Mwaka Nchi Idadi Ya Wageni Watalii Kutoka Nje

2007 Kenya 1,278,500
2007 Tanzania 719,031

2008 Kenya 936,100
2008 Tanzania 765,000

Sources: http:http://www.knbs.or.ke/, na, kitabu cha hali ya uchumi cha 2008 kwenye mtandao wa NBS .

Kwa bahati mbaya takwimu hizi hazitofautishi wale ambao walitua Zenji kwa minajili ya kujivinjari huko tu.

Mkuu unapoona wageni wengi Arusha si kwa sababu wote wamekuja kutalii, wapo wanaopiga kazi kwenye migodi, miradi kedekede, wanaoishi hapo, wanaotokea Kenya kuja kunusa kidogo tu halafu warudi ambao kila kitu wamelipia huko huko Kenya, na pia kwa sababu Arusha ni mji mdogo hivyo wakati wa misimu ya utalii wakija mamia kadhaa, mji hushindwa kuwaweka wote ndani. Kuna baadhi ya makampuni ya utalii ya Arusha ambayo ni sehemu ya makampuni makubwa ya utalii yenye ofisi hata Kenya, makampuni kama Abercrombie & Kent ni moja yapo.

Kwa hiyo Kenya Bureau of Statistics ni credible source kama mtu akitaka kujua watalii wangapi waliingia Tanzania. Hiki ni kichekesho kikubwa.
 
Ungesoma ujumbe wangu wa awali usingekurupuka kunijibu bila ya takwimu ila majibu yako hata hivyo yanasaidia kufafanua ujumbe wangu. Sasa ngoja basi nikuwekee takwimu kidogo maana inaelekea wewe una hamu sana na kujua yanayojiri Kenya.

Mwaka Nchi Idadi Ya Wageni Watalii Kutoka Nje

2007 Kenya 1,278,500
2007 Tanzania 719,031

2008 Kenya 936,100
2008 Tanzania 765,000

Sources: http:http://www.knbs.or.ke/, na, kitabu cha hali ya uchumi cha 2008 kwenye mtandao wa NBS .

Kwa bahati mbaya takwimu hizi hazitofautishi wale ambao walitua Zenji kwa minajili ya kujivinjari huko tu.

Mkuu unapoona wageni wengi Arusha si kwa sababu wote wamekuja kutalii, wapo wanaopiga kazi kwenye migodi, miradi kedekede, wanaoishi hapo, wanaotokea Kenya kuja kunusa kidogo tu halafu warudi ambao kila kitu wamelipia huko huko Kenya, na pia kwa sababu Arusha ni mji mdogo hivyo wakati wa misimu ya utalii wakija mamia kadhaa, mji hushindwa kuwaweka wote ndani. Kuna baadhi ya makampuni ya utalii ya Arusha ambayo ni sehemu ya makampuni makubwa ya utalii yenye ofisi hata Kenya, makampuni kama Abercrombie & Kent ni moja yapo.

Heshima kwako PatPending,

Mkuu hiyo source yako sikubaliani nayo hata kidogo ebu tupatie source nyingine pengine nitakuelewa kidogo.Kenya National Bureau of Statistics ni sehemu ya propaganda zilizopitwa na wakati.Nenda web ya tanapa utapata ukweli wote au wizara ya utalii.
 
Kwa hiyo Kenya Bureau of Statistics ni credible source kama mtu akitaka kujua watalii wangapi waliingia Tanzania. Hiki ni kichekesho kikubwa.

Soma ujumbe vizuri kwanza kabla ya kucheka


Heshima kwako PatPending,

Mkuu hiyo source yako sikubaliani nayo hata kidogo ebu tupatie source nyingine pengine nitakuelewa kidogo.Kenya National Bureau of Statistics ni sehemu ya propaganda zilizopitwa na wakati.Nenda web ya tanapa utapata ukweli wote au wizara ya utalii.

Wakuu someni vizuri ujumbe wangu. Kwa takwimu za Tanzania nimesema zinapatikana katika Kitabu cha Hali ya Uchumi cha 2008 katika mtandao wa NBS
 
Hii ilishajaribiwa miaka ya sabini watalii wanashukia Nairobi,wana-check in kwenye hoteli za Kenya,wanaletwa Tanzania na magari ya Kenya, wanaongozwa na guides wakenya,wanazungushwa mbugani siku mbili,wanalala kwenye tents walizokujanazo kutoka Kenya, wanakula packed food walizokuja nazo.Wanapelekwa beach mombasa/malindi na kuondokea Nairobi.
Tunataka kurudi huko alikokataa Nyerere na kuamuru mtalii anaetaka kuzuru ngorongoro/serengeti na mlima kilimanjaro ushukie kili.Tulikua tunambulia less than 100 dollars per tourist.
 
Kwa kweli Tanzania kama nchi sijaona mkakakti wake wakujiuza kitalii na kwa nia ya dhati. Kukosekana kwa mpango mkakati wa kujiuza ndiko kunakalikosesha Taifa fedha kwani wenzetu wako agressive sana katika kutafuta masoko kujitangaza na kuhakikisha wanapata "Lion Share" kutoka kwenye maliasili walizonzazo.
 
Tunahitaji juhudi binafsi yaani mtu mmoja mmoja na kwa pamoja kuweza kutangaza, kukuza utalii wa ndani na wa nje na hatimaye kuwa katika viwango stahili.
 
Ungesoma ujumbe wangu wa awali usingekurupuka kunijibu bila ya takwimu ila majibu yako hata hivyo yanasaidia kufafanua ujumbe wangu. Sasa ngoja basi nikuwekee takwimu kidogo maana inaelekea wewe una hamu sana na kujua yanayojiri Kenya.

Mwaka Nchi Idadi Ya Wageni Watalii Kutoka Nje

2007 Kenya 1,278,500
2007 Tanzania 719,031

2008 Kenya 936,100
2008 Tanzania 765,000

Sources: http:Welcome to Kenya National Bureau of Statistics, na, kitabu cha hali ya uchumi cha 2008 kwenye mtandao wa NBS .

Kwa bahati mbaya takwimu hizi hazitofautishi wale ambao walitua Zenji kwa minajili ya kujivinjari huko tu.

Mkuu unapoona wageni wengi Arusha si kwa sababu wote wamekuja kutalii, wapo wanaopiga kazi kwenye migodi, miradi kedekede, wanaoishi hapo, wanaotokea Kenya kuja kunusa kidogo tu halafu warudi ambao kila kitu wamelipia huko huko Kenya, na pia kwa sababu Arusha ni mji mdogo hivyo wakati wa misimu ya utalii wakija mamia kadhaa, mji hushindwa kuwaweka wote ndani. Kuna baadhi ya makampuni ya utalii ya Arusha ambayo ni sehemu ya makampuni makubwa ya utalii yenye ofisi hata Kenya, makampuni kama Abercrombie & Kent ni moja yapo.

Takwimu za kwamba watalii wengi wanakwenda Kenya kuliko wananvyokuja Tanzania zinajulikana isipokuwa umesahau kwamba wale wanaokuja Tanzania wanatumia pesa nyingi zaidi kwa siku, kuliko wale wanaokwenda Kenya. Kwa kifupi Tanzania inaingiza mapato mengi lkutokana na watalii kuliko nchi yeyote ya E.A. kwa sababu ina-attract watalii matajiri. (type ya akina Akina Abramovich, Lupe Fiasco, etc.)
 
Ni kweli kabisa kwamba Tanzania ina hivo vivutio tena vya kutosha hizo mbuga tuna utalii wa kitamaduni, kihistoria pia sasa pamoja na kua hivi vivutio vyote faida ipo wapi? hii ni hofu tu inabidi kama waTnzania ifike wakati tukubali challenge na kwamba wakenya wanaatuzidi kwa kujiamai yes, wameuza sana kilimanjaro kama nji yao je umetembelea museum zao???bado wanauza excuvated materials from Tanzani a haya yote n kwa sababu bado tu wazubavu lakini acheni iwe single destination then tuamke na kuitangaza nchi yetu vilivo after all tukiwa single destination hakuna atakaye uza kivutio cha mwenzie kama chake kwani nchi zote zinauza kitu icho hicho kwa hiyo itakua maajabu mfano kenya auze kilimanjaro kama ipo kenya na tz na UG wa uze iyo iyo kilimanjaro kama mali ya Tanzania. so tour operators watakua makini zaidi na wataacha kudanganya
as for me naoan inabidi tukubali challlnge ili tuendelee other wise tutaendelea kua masikini siku hadi siku na kubaki kugombana na serilikali juu ya mishahara,
 
Sijawahi ona nchi iliyojaa viongozi corrupt,ignorant,no vision kama bongo,nchi ina kila kitu kuanzia minerals,bandari,utalii wanguvu etc lakini bado ni maskini wa kutupwa,tuna nchi kama sita (malawi,Zambia,Uganda,Rwanda,burundi etc) zimetuzunguka ambazo zingeweza kutumia bandari yetu 100% na cargo yote millions of tones ingepitia kwetu lakini kinachofanyika sasa nchi zote hizo zinafikiria kutafuta alternative routes ili kuepuka Dar es salaam,nchi kama Hong Kong,Singapore,Dubai etc ukiangalia vizuri Economy zao zinategemea bandari zao sasa unajiuliza Dar es salaam ina tofauti gani?lakini hakuna cha ajabu maana hata watu wanaochangia humu utategemea nini wakipewa nchi kwa jinsi walivyokuwa shallow & petty,bado wanawaza stupid protectionsm na eti wakenya wana roho mbaya as if Business deals zinategemea roho ya mtu,wengine walivyokuwa makapuku wana boost eti expensive tourism is the way to go,it doesnt make any sense kulipisha foreigners different from citizens,mbona tukienda Las Vegas tunalipa sawa?mtalii huyo huyo akienda kenya analipa 50$ entry fee then unataka kum charge 300$ upande wa TZ,upuuzi mkubwa huu ndio maana wengi wanaishia Kenya
 
Miafrika ndivyo ilivyo ikiambiwa inunue gari kwa millioni 100 kwa sababu imetengenezwa na mzungu inakubali wakati huo huo ukiiambia iwa-charge watalii kuja kwenye hifadhi zetu dola 1000 inakataa ati inawaonea huruma. Ndio umburu kenge wenyewe huo itabaki kuwa mikimbizi hadi kiama.

Hakuna Seregeti wala Ngorongoro mahali popote duniani sasa kama anayeona kuingia kwenye mbuga zetu kwa dola hata 1000 ni ghali aende Kenya kama ataiona hiyo Serengeti.
 
Despite global crisis EA ready as single tourist destination

















The countdown to the annual East African premier travel and tourism show with a special focus of promoting the EA as a single tourist destination has begun, The Guardian on Sunday has learnt.
Karibu Travel and Tourism Fair (KTTF), the second largest show in the natural resources-rich-African continent, after 'Indaba in South Africa', will run from June 4 to 6 in Arusha. In spite of the subdued international tourism market due to the global financial crisis, organisers are upbeat that this year's exhibitors will eclipse last year's that recorded 250 participants,
"Nearly 300 exhibitors are anticipated to take part in this year's fair along with media and thousands of regional and international visitors," said anzania Association of Tour Operators (TATO), Executive Secretary Mustapha Akuunay.
With little more than three weeks to go for KTTF to take place at Magereza Open Grounds near Arusha Airport, anticipation and excitement are building up for the event which some people have described as "the most significant show ever."
This year the KTTF fair focuses on marketing the EA as a single tourist destination, an initiative that along with others puts the show in an enviable position, and potentially enormously lucrative position.
The major objective of KTTF is to raise the regional profile by promoting EA tourism to the global market and bring all key industry players in EA together in one place, at one time.
The fair also aims at creating opportunities for international visitors and overseas tour agents to meet and network with members of the EA tourism industry; bring new destinations and facilities and products to the attention of overseas tour agents as well as facilitate opportunities for overseas tour agents to visit the national parks and properties.
Amant Macha, head of the Tanzania Tourist Board said: "Tanzania is very proud that KTTF, which started as a modest initiative, has evolved into a major travel industry showcase for all the East African destinations." Part of the uniqueness and excitement of the KTTF is that it is an outdoor event that offers a real safari experience.
"Since America continues to be EA's number-one source market for tourists, we are making a special effort to attract more travel agents from the US market," Macha noted, adding that there were currently more than 1,400 qualified Tanzania travel agent specialists in the US.



SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
 
Back
Top Bottom