Kaka Mweusi
Member
- Jul 10, 2008
- 10
- 0
wazungu hawaishi kujipendelea, tunaweza kujiuliza kama zuzu aliyesoma UDSM
anapata A+ ulaya, je wa first class atapata nini,
mwanangu mimi nimefanya degree ya pili ulaya walikuwa wananiona kipanga, na mimi sijaona tofauti yoyote kati ya ada na mba mpaka semester ya mwisho.
kwanini elimu yao iwe juu, vitabu ndio vilevi8le, mtandao ndio huu kwanini elimu ya harvard iwe kiboko na sio ifm,
inanishangaza sisi wasomi wa bongo kuingia kwenye malumbano ya kibwege.
kitu muhimu tujuwe wazungu hujipendelea na husema kwao ndio kwenye elimu na ustaarabu ukiishi nao ndio utajuwa sawa na washenzi wengine wowote duniani
anapata A+ ulaya, je wa first class atapata nini,
mwanangu mimi nimefanya degree ya pili ulaya walikuwa wananiona kipanga, na mimi sijaona tofauti yoyote kati ya ada na mba mpaka semester ya mwisho.
kwanini elimu yao iwe juu, vitabu ndio vilevi8le, mtandao ndio huu kwanini elimu ya harvard iwe kiboko na sio ifm,
inanishangaza sisi wasomi wa bongo kuingia kwenye malumbano ya kibwege.
kitu muhimu tujuwe wazungu hujipendelea na husema kwao ndio kwenye elimu na ustaarabu ukiishi nao ndio utajuwa sawa na washenzi wengine wowote duniani