dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
habari yenu wakuu.
naomba kuuliza, hivi ile dawa ya tongozoro inafanya kazi?.
Nasikia kama wewe ni domo zege kwa mademu ukiitumia tu unaanza kutema mistali na unaye mpenda anakubali hapohapo. hasahasa ikitumiwa na wasichana ndo unatoa neno moja tu mtu anaingia line. vipi hii imekaaje? kuna mtu kaniagizia nimnunulie. kwamba inauzwa kwenye maduka ya madawa. je wapi naweza ipata. msaada japo sio mimi ninaye ihitaji.
naomba kuuliza, hivi ile dawa ya tongozoro inafanya kazi?.
Nasikia kama wewe ni domo zege kwa mademu ukiitumia tu unaanza kutema mistali na unaye mpenda anakubali hapohapo. hasahasa ikitumiwa na wasichana ndo unatoa neno moja tu mtu anaingia line. vipi hii imekaaje? kuna mtu kaniagizia nimnunulie. kwamba inauzwa kwenye maduka ya madawa. je wapi naweza ipata. msaada japo sio mimi ninaye ihitaji.