Hebu weka hiyo Virgin yako hapa tuhakikishe kwanza kama ni orijino au ndio zile za kichina
Yawezekana mwanzo kabla hajajua alitaka kuplay tu c unajua lakini alipoona kuna ngozi akabadili mawazo, sasa anataka jumla kwa nia nzuri tu. Kumbuka wengi wetu tunaamini ukipata mwenye ngozi atakuwa mwaminifu. Angalizo: Hapa shirikisha sala kwa nguvu zako zote.
yale yaleeeee!
Bikira za midomoni hizi bwana aahhhkkk kazi kweli kweli kuziamini. Your age plz then I will come back soon!!!
aisee, wewe ni very skepticalKama unamuona ni mtu anayefaa kuitwa mume, na unadhani yupo katika wakati ambao anaweza kuoa, mwambie afanye utaratibu mfunge ndoa.
Au kama anaonesha nia ya kuwa na malengo hayo, lakini kwa sasa bado ajafikia uamuzi huo, usimlazimishe.
Ila kuwa makini, tuliza moyo, jilinde zaidi na zaidi, epuka vishawishi na mazingira yatakayokupelekea wewe kuingia kwene mtego wa kufanya mapenzi. Aisee hawa ndugu zetu wanaume wamepewa akili ya tofauti sana juu ya wanawake, hayo yote anayoyafanya kwa juhudi na maarifa yote, yawezekana ni janja tu, kama ile ya kumkamata kuku kwa kumrushia punje za mahindi au mchele.
Sasa we fikiria kabla hujamwambia hivo mbona alikuwa hafanyi hayo??
Angalia bwana yawezekana mtu hakupendi anapenda "Virgin" na ikishaondoka/akishaitoa ujue imekula kwako.
Mmmmm, bora usingemwambia hivo, lakini angalia, huwa wana maneno mazuri sana hawa ya ulaghai.
23yrs
kama kweli unayo ni heshima kwako na familia yako, endele kijitunza hadi huyo jamaa atakapooa.23yrs
Duuuhhh 23yrs ushajua mambo yote haya?? Bikira??? Waijua vizuri weye?? Na wasiwasi wameshakuchakuchua mpa mwisho unaleta blaa blaa tu hapa kwa watu wazima kama sisi!!!!
tatizo wabongo tumezoea kudanganya kwa iyo mnadhani kila m2 anadanganya. ukweli ndo huo n no one else anajua icipokua my boyfriend n u jf.