Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
JIPU lipo kwenye hizi bank ambazo ni wakala wa TRA kwenye ukusanyaji wa kodi na baadhi ya maafisa wa TRA.
Hili lipo sana hasa katika ulipaji wa PAYE (Income tax) kwa wafanyakazi hasa makampuni/taasisi binafsi.
Majuzi mtu kalipa kodi Tsh 10 million anapewa risiti ya Tsh 10.00 halafu wanasema ni system error, na wakati huo huo account wanayodeposit hizo kodi ni tofauti. Tunao ushahidi wa hili, lilitokea CRDB.
Naomba hili jipu litumbuliwe
Hili lipo sana hasa katika ulipaji wa PAYE (Income tax) kwa wafanyakazi hasa makampuni/taasisi binafsi.
Majuzi mtu kalipa kodi Tsh 10 million anapewa risiti ya Tsh 10.00 halafu wanasema ni system error, na wakati huo huo account wanayodeposit hizo kodi ni tofauti. Tunao ushahidi wa hili, lilitokea CRDB.
Naomba hili jipu litumbuliwe