Elimu ya hapa na pale
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 846
- 824
Naanza kutoa pongezi zangu za dhati kwa awamu ya tano na kauli mbiu yake ya hapa kazi tu. Toka uhuru wa tanzania yetu haijawahi tokea mafisadi na wapiga dili wanalia lia kwenye magazeti na maeneo mbalimbali kama kipindi hiki. Kwahiyo ninacho kuomba Raisi wangu wala usisikie vilio vya hao wasiolitakia mema taifa letu kimaendeleo halafu ukalegeza utawala wako, utashindwa vibaya mnooo. maana watanzania sio watu kuchekeachekea, watakuangusha vibaya.
Ombilangu kwako kaza buti hivi hivi na Mungu baba yetu wa Mbinguni anakuona na hauta dhulika kwa lolote kwa kuwa unatenda mema yale ambayo Mungu anayataka.
Na mimi leo nimeanza maombi yangu ya wiki nzima ya kufunga na kuomba kwa ajili ya utawala wako ili Mungu akuzidishie hekima kama za selemani mfalme wa taifa teule la izlael.Amina.
Ni mimi mpenda maendeleo ya taifa letu tanzani mpyaa.
Ombilangu kwako kaza buti hivi hivi na Mungu baba yetu wa Mbinguni anakuona na hauta dhulika kwa lolote kwa kuwa unatenda mema yale ambayo Mungu anayataka.
Na mimi leo nimeanza maombi yangu ya wiki nzima ya kufunga na kuomba kwa ajili ya utawala wako ili Mungu akuzidishie hekima kama za selemani mfalme wa taifa teule la izlael.Amina.
Ni mimi mpenda maendeleo ya taifa letu tanzani mpyaa.