Wana-JF,
Nilikuwa nafuatilia kwa karibu ziara aliyoifanya rais Kufour wa Ghana kule USA na ziara ya JK huko huko USA. Naomba tuangalie hizi picha chache kwenye kiunganishi hiki Food For Thought
Ili tulinganishe mapokezi ya rais wetu na huyo wa Ghana, ukizingatia wote walipewa mwaliko maalum na Bush.
Nilikuwa nafuatilia kwa karibu ziara aliyoifanya rais Kufour wa Ghana kule USA na ziara ya JK huko huko USA. Naomba tuangalie hizi picha chache kwenye kiunganishi hiki Food For Thought
Ili tulinganishe mapokezi ya rais wetu na huyo wa Ghana, ukizingatia wote walipewa mwaliko maalum na Bush.