clemencemlai
Member
- May 3, 2010
- 24
- 2
Tofauti kubwa ya umri kati ya mume na mke.
Ndugu zangu, poleni na mihangaiko.
Kupishana sana kwa umri kati ya mwanaume na mwanamke ambao wanataka kuoana kunaweza kukaleta matatizo gani katika maisha yao ya ndoa hasa ukizingatia mwanaume amezaliwa 1964 na binti amezaliwa 1993.
Nawasilisha.
Ndugu zangu, poleni na mihangaiko.
Kupishana sana kwa umri kati ya mwanaume na mwanamke ambao wanataka kuoana kunaweza kukaleta matatizo gani katika maisha yao ya ndoa hasa ukizingatia mwanaume amezaliwa 1964 na binti amezaliwa 1993.
Nawasilisha.