Njia ya panya
Njia ya nyoka
Njia ya tembo
Njia ni sehemu ya kupita isiyo rasmi na inapitika kwa msimu.
Barabara ni sehemu ya kupita iliyotengenezwa kitaalamu na inapitika mwaka mzima.
Mimi nafikiri kuwa 'njia' ni dhana zaidi (conceptual) wakati 'barabara' ni halisia na maalumu zaidi.....na kwa sehemu kubwa matumizi ya maneno hayo mawili yanaanzia hapo.Wakuu wana JF natatizwa sana na maneno mawili; 'BARABARA' na 'NJIA'.
Naomba wataalam wa lugha ya Kiswahili wanifahamishe kama maneno hayo mawili yana maana sawa ama yanamaanisha vitu viwili tofauti.
mkuu nadhani mhusika hajakusudia njia hiyo uliyomueleza.Njia: (Way/s) noun Namna, Usita, Taratibu, Jinsi, Jiha, Ndia, Kadiri, Masafa, Njia.
Barabara: (Road/s) noun Njia, Barabara, Tariki.