tofauti ya lamb na mutton
mfano utatofautishaje lamb curry na mutton curry
Lamb: Wakazi wa UK, New Zealand na Australia, wao wanatumia haya majina kama nyama ya Kondoo na Mbuzi ambaye ajakomaa bado ambaye yupo si zaidi ya mwaka tangia kuzaliwa kwake.
Hogget: ni nyama ya Kondoo ambaye amepita mwaka mmoja tangia kuzaliwa.
Mutton: Nyama ya Kondoo ambaye amekomaa (an adult sheep).
Haya majina ya Lamb, mara nyingi utumika kwa Kondoo mdogo na Mutton ni nyama ya mbuzi, na jina lingine ni chevon.
Kila nyama na radha yake... Ukipata nafasi nunua zote ndipo utakapojuwa... Kwa maelezo itakuwa ngumu kidogo.asante mheshimiwa X-PASTER
je? unaweza kutofautishaje nyama hizi zinapokuwa zimepikwa?
Kuna hotel moja nairob waliniletea nyama wakasema ni lamb. Kuonja naona kama kondoo, eti wakaniambia sio kondoo ni mbuzi.
Nikaacha kula coz sipendi kondoo. Basi nikajua mimi ni mshmba sijui kua lamb ni mbuzi.
Kwa kweli walinichanganyatofauti na mimi nijuavyo kua lamb ni mbuzi
Lamb - Kondoo
Mutton - Mbuzi
tofauti ya lamb na mutton
mfano utatofautishaje lamb curry na mutton curry