mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,305
- 13,640
Wewe pia ni mdini unacho fanya Ni kumshambulia mwenzako kwa udini acha udini dadaAcha kujitia upofu, Madrasa nyingi tu zinawapandikiza chuki vijana (watoto) wa kiislam dhidi ya ukristo na matokeo yake ndo hayo....vijana kadhaa kukamatwa huko kenya wakielekea somalia kujiunga na Alshabaab.
Nafatilia sana hata hizi redio na tv zenu, kutwa kucha kulalamika na kupandikiza chuki kanakwamba wakristo ndo waliowanyima elimu dunia! Rejea mafundisho ya jihadi na masuria 70 huko peponi.