TISS (Usalama wa Taifa) mkiona inafaa, anzieni hapa

Asante kwa taarifa mkuu lkn unafahamu kama kipindi naishi huko kuna makanisa yalikuwa yanalipuliwa kwa mabomu ya kutengeneza na mengine kuchomwa? Heko kwa raisi Amani na aliyepo sasa kwani walijitahidi sana kuimarisha ulinzi hasa siku za ibada
Nmesoma comments zako hata ww unaonekana ni mbaguzi wa dini mwenye imani ya ukristo safi huku ukijinasibu kuwa ni mpagani
 
hapo kazi ya kwanza itakuwa ni kutafuta ip address yake ili tujue ana-comment akiwa ndani ya mipaka ya tanzania au nje ya nchi.

kazi ya pili itakuwa ni kumuwekea vijana wetu mahiri(watch dogs) wa kufatilia mienendo yake na kusikiliza mawasiliano yake ili iwe rahisi kufanya analysis ya kijasusi.

tukibaini kuwa ni gaidi, kazi ya tatu itakuwa ni kumteka na kumuondoa kabisa uraiani ili asije akaleta madhara makubwa siku za usoni. na huo ndio utakuwa mwisho wake.
Kama anatumia VPN?
 
Noma sana!
Dini zote zinafanana kwa mambo yafuatayo (common denominator);
1. Zilianzishwa na binadamu katika mazingira ya upweke na shida. Zote zilianza jangwani,

2. Zote zinapinga maendeleo ya sayansi na teknolojia ( Rejea Galileo Galilei na Copernicus walivyopata shida kwa Kanisa Katoliki. Kumbuka kuwa ni marufuku kufundisha The Theory of Evolution nchini Saudi Arabia).

3. Dini zimeua watu wengi zaidi kuliko Vita Kuu ya Kwanza na ya Pili na zinaendelea kuua mpaka kesho.
 
Eeh ndivyo unavyojua kuwa hazipatikani kirahisi .
Kuna jamaa humu ashawahi kutoa uzi akiituhumu kampuni moja ya mafuta inayokwepa kodi ikazua kizaazaa mpaka serikali ikataka jf itoe data za huyo mtu. Wangekua na uwezi si wangenyaka mawasliano yake bila kuwalazimisha jf kutoa data za huyo mtu?
Fb nao kwenye ulinzi wa data za wateja wao wako good ndo maana ina wateja wengi ukiachilia mbali scandal ya majuzi ya uvujishaji wa siri za watu.
Labda blog za akna millard ayo ndo znaweza kudukuliwa kwa vile zina servee za ndani.
 
Nmesoma comments zako hata ww unaonekana ni mbaguzi wa dini mwenye imani ya ukristo safi huku ukijinasibu kuwa ni mpagani
Nimezaliwa na kukulia katika ukiristu ni dini inayohubiri upendo na uvumilivu kama waislamu na uislamu wa zamani ulivyokuwa sio huu wa kukata suruali chini
 
Dini zote zinafanana kwa mambo yafuatayo (common denominator);
1. Zilianzishwa na binadamu katika mazingira ya upweke na shida. Zote zilianza jangwani,

2. Zote zinapinga maendeleo ya sayansi na teknolojia ( Rejea Galileo Galilei na Copernicus walivyopata shida kwa Kanisa Katoliki. Kumbuka kuwa ni marufuku kufundisha The Theory of Evolution nchini Saudi Arabia).

3. Dini zimeua watu wengi zaidi kuliko Vita Kuu ya Kwanza na ya Pili na zinaendelea kuua mpaka kesho.
That's why i given up
 
Non sense ,magaidi hawapo hivyo,huyu ni eidha utoto au msongo wa mawazo
 
Non sense ,magaidi hawapo hivyo,huyu ni eidha utoto au msongo wa mawazo
Yote hayo yanaweza kuwa na ukweli lkn angalia akaunti yake ya facebook baadhi ya marafiki zake wanamuuliza uko wapi siku hizi hatukuoni? Je ni kweli uko Tripoli? Anawajibu nipo tu Zenj pilikapilika tu. Hii inaamanisha ashaondoka Zanzibar
 
Kama kuuwawa mkuu bc wangeanza viongozi kwa sababu wanavyo fanyiwa wananchi wa zanzibar wakati wa siasa haya vumiliki, Acha kuchonganisha wazanzibari waislam na christo, suala la padri ni deal za unga na juzi kashikwa huko Tanganyika padri na kilo kumi tano.

Mnafanya biashara zisizo halali mnauwana wenyewe, acheni sumu zenu, kama vita zanzibar bc ingekuwa ccm na cuf na sio padri
Wewe unaonekana unaelekea kuwa gaidi nimekufuatilia comments zako zinaelekea unapenda ugaidi
 
Screenshot_20190426-113904.png
 
Huyo jamaa jinga kweli. Dah akili inahitajika kuwakomboa hawa ndugu zetu. Mafundisho hay siyoo

Hapo lijamaa limekili kua liko na alshabab na linajiskia raha sana kua nao.
Watz tuwe makini na hawa jamaa hususan wale wanaojifany wanaeneza dini kweny misikiti. Mafundisho yao hususan usiku hua siyo
 
Back
Top Bottom