Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
nitonye is my bro blood blood kwa hiyo inanihusu.
Sasa kwanini anamtesa mtoto wa watu??
nitonye is my bro blood blood kwa hiyo inanihusu.
Dah na inaniuma aisee..
Nimemmiss sana
Sasa kwanini anamtesa mtoto wa watu??
na bado umezidi ubahili unategemea nini?
Muulize uone...kwani nani kasema anateswa?kama sio udaku wako wewe
Ubahili kwangu?
Mbona uchumi wangu uko mikononi mwake...mtoto anajiachia tu...huoni alikuwa Dubai
Muulize uone...
Sijamuona....alikuja kushangaa tu then kaotea nahisi ameenda kumtafuta ili aje naesi keshakuja kukanusha hapa ama?
Sijamuona....alikuja kushangaa tu then kaotea nahisi ameenda kumtafuta ili aje nae
Hahaha! nimeipenda hiyo blood blood=damu damu ni kama ile ya Belinda jacob job true true=kazi kweli kweli.nitonye is my bro blood blood kwa hiyo inanihusu.
Hahaha! nimeipenda hiyo blood blood=damu damu ni kama ile ya Belinda jacob job true true=kazi kweli kweli.
Sijakutupa sweety majukumu tu me love you sana tu.
Halafu tabia ya mkeo kuwa mchonganishi na majungu maker wala hata siipendi....Hahaha! nimeipenda hiyo blood blood=damu damu ni kama ile ya Belinda jacob job true true=kazi kweli kweli.
Sijakutupa sweety majukumu tu me love you sana tu.
Heeeeeee....kumbe hayupo????love you more baby, uko api?mbona hurudi nyumbani?
Halafu tabia ya mkeo kuwa mchonganishi na majungu maker wala hata siipendi....
Naomba ukae nae umuonye maana ipo siku ntamfanya kitu hamna...ooh
Heeeeeee....kumbe hayupo????
Hahahahaaaaaaa small houseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kaaa kupika tu utakula mwenyewe....
@kaby nimependa unavyompa Erick vidonge vyake manake amezidi uzushi.
@ Erick husband kapumzika kidogo, anasema kama umeleta ile hela alokukopesha mpe kaby.
Ishia hapohapo labda unamuongelea mtu mwengine huyu Kaba hana tabia hizo unazosisema hapa,thubutu eti umfanye kitu ? dogo angalia tu usifanywe wewe kitu lol!Halafu tabia ya mkeo kuwa mchonganishi na majungu maker wala hata siipendi....
Naomba ukae nae umuonye maana ipo siku ntamfanya kitu hamna...ooh
We ngoja utaonaeti kitu hamna?sasa wewe utakitoa wapi hamna?
Ishia hapohapo labda unamuongelea mtu mwengine huyu Kaba hana tabia hizo unazosisema hapa,thubutu eti umfanye kitu ? dogo angalia tu usifanywe wewe kitu lol!
Kuhusu small hausi ukiwa na mtu kama Kaba huwezi waza mambo hayo maana she is the complete package,kama una mawazo ya small hausi ujue mahusiano yenu na mwenza wako yana mapungufu.