Timu za DRC ziko hoi taabani: TP Mazembe inashika mkia kwenye kundi lake huko shirikisho na Vita inashika mkia kwenye kundi lake caf champions!

Hivi Katumbi bado anaimiliki TP Mazembe au alishafulia? maana si kwa kudorola huko kila moja anajipigia tu!!
Mazembe wana project ya kujenga uwanja lkn pia Katumbi alipitia misukosuko ya kisiasa kuna kipindi alihama nchi nna uhakika watarudi kwenye ubora wako AS Vita wanauza sana wachezaji wemekua kama Ajax, Dortmund, Benifica
 
Miaka michache tu iliyopita wakiwa chini ya kocha wao Ibenge, walifika mpaka fainali kombe la shirikisho. Halafu unasema hawana maajabu kwenye madhindano ya Kimataifa!!

Simba alienda Kinshasa na kupigwa goli 5-0!
Sasa ushasema shirikisho/LOSERS CUP sasa kwani sasa hivi wanacheza huko??????hiyo ni CL brother, ule ushibe na ni maalumu kwa mabingwa tu.
View attachment 2566002
 
Miaka michache tu iliyopita wakiwa chini ya kocha wao Ibenge, walifika mpaka fainali kombe la shirikisho. Halafu unasema hawana maajabu kwenye madhindano ya Kimataifa!!

Simba alienda Kinshasa na kupigwa goli 5-0!
Sasa kuipiga Simba Tano na kushindwa kufuzu robo fainal ni maajabu?Huku uliyempiga akifuzu.Huo ni ujinga sio maajabu ,mwanafunzi anayepata 95 mtihani mmoja na kufeli mitihani 6 huyo ni punguwani ,nyumbu ,na amnazo.
 
Sasa kuipiga Simba Tano na kushindwa kufuzu robo fainal ni maajabu?Huku uliyempiga akifuzu.Huo ni ujinga sio maajabu ,mwanafunzi anayepata 95 mtihani mmoja na kufeli mitihani 6 huyo ni punguwani ,nyumbu ,na amnazo.
Kimafanikio hakuna timu ya bongo inamfikia AS Vita

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Lakini tukikutana nao national team wanatufunga maana wenzetu wana professional wengi sana.
 
Back
Top Bottom