S Somi JF-Expert Member Feb 7, 2009 3,609 4,360 Dec 22, 2023 #1 Ligi ya Tanzania imekua wachezaji 5 sio haba . Attachments 1ED79CAD-4A05-4231-98C8-BD505F0EB1B9.jpeg 99.2 KB · Views: 8
Tate Mkuu JF-Expert Member Jan 24, 2019 28,391 81,871 Dec 22, 2023 #2 Hongera nyingi kwa wachezaji wote walioingia kwenye hicho kikosi. Kwa upande wangu ningeshangaa sana kama Pacome Zouzoua asingekuwepo.
Hongera nyingi kwa wachezaji wote walioingia kwenye hicho kikosi. Kwa upande wangu ningeshangaa sana kama Pacome Zouzoua asingekuwepo.
Lupweko JF-Expert Member Mar 26, 2009 20,696 20,455 Dec 22, 2023 #4 Ila tuzingatie kuwa Al Ahly na Belouizad hawakucheza
DullyJr JF-Expert Member Apr 10, 2011 13,979 11,816 Dec 22, 2023 #5 Lupweko said: Ila tuzingatie kuwa Al Ahly na Belouizad hawakucheza Click to expand... Kabisa
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Aug 24, 2011 49,235 103,879 Dec 22, 2023 #6 Bila Ayoub hiyo XI ni batili
Dr Msweden JF-Expert Member Nov 3, 2020 2,632 9,445 Dec 22, 2023 #7 OKW BOBAN SUNZU said: Bila Ayoub hiyo XI ni batili Click to expand... Nenda ukamuweke
kichekoh JF-Expert Member Sep 19, 2015 1,177 1,412 Dec 22, 2023 #8 kila ninapopita Yanga kaizidi simba, kila hali na kila namna.
Sinoni JF-Expert Member May 16, 2011 5,531 9,146 Dec 22, 2023 #9 kichekoh said: kila ninapopita Yanga kaizidi simba, kila hali na kila namna. Click to expand... Kama unapita jangwani ulitegemea nini ?
kichekoh said: kila ninapopita Yanga kaizidi simba, kila hali na kila namna. Click to expand... Kama unapita jangwani ulitegemea nini ?
Shadow7 JF-Expert Member Sep 28, 2020 13,799 20,210 Dec 22, 2023 #10 Dr Msweden said: Nenda ukamuweke Click to expand... 😂😂😂
Goguryeo JF-Expert Member May 17, 2019 2,505 4,506 Dec 22, 2023 #12 Mm kama hater ninaechipukia huu Uzi sitocomment "kihater" Hongera kwao.
Nifah JF-Expert Member Feb 12, 2014 31,531 65,295 Dec 22, 2023 #13 Nyie mnaoenda kukutana na Asec, mmewaona hao watu lakini? Msijesema hamkuambiwa! Sisi Yanga ni kawaida yetu kila wiki ya mashindano kujaza kikosi, wala hakuna cha ajabu.
Nyie mnaoenda kukutana na Asec, mmewaona hao watu lakini? Msijesema hamkuambiwa! Sisi Yanga ni kawaida yetu kila wiki ya mashindano kujaza kikosi, wala hakuna cha ajabu.