Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
Jamani Yesu ni wa watu wote si wa walokole peke yao wala dini ya walokole. Mimi namwamini Yesu na amenitendea makuu katika maisha yangu lakini sijiiti mlokole wala si sali kwenye hayo makanisa yanayojiita ya walokole. Uzuri hata waislamu wanayoijua dini yao vizuri wanajua kwamba Yesu bin Mariam ndiye atakayerudi kuhukumu ulimwengu wala sio Mohamed.
Tumtangulize Mungu mbele kwa kila tufanyalo tutafanikiwa.Sishangai kilichotokea kwa Wabrazili.
Tiba
Sisi footballers wetu (Taifa Stars) nasikia wanatanguliza bangi - na bado waliifunga New Zealand!