Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,831
Mabingwa wa kihistoria Tanzania wametajwa katika orodha ya timu bora 50 kwa mwaka 2017. Yanga wameshika nafasi ya 43.
Viongozi wetu mnapoingia mikataba na makapuni msifananishwe na wale wengine ambao hata 200 bora hawasomeki. Ni hatua nzuri kwa Klabu yetu ila msimu ujao tupigane kwenda mbele.
Tukisema wakimataifa numbers don't lie
Source:www.globalfootballranks.com
Viongozi wetu mnapoingia mikataba na makapuni msifananishwe na wale wengine ambao hata 200 bora hawasomeki. Ni hatua nzuri kwa Klabu yetu ila msimu ujao tupigane kwenda mbele.
Tukisema wakimataifa numbers don't lie
Source:www.globalfootballranks.com