Tifu (varangati) kali laibuka siku 12 tu baada ya ndoa, kisa hiki hapa..

Kigodoro

JF-Expert Member
Apr 25, 2014
1,660
1,676
Jamani uswahilini kuna vituko lakini raha. Kuna njemba imeshusha kipigo cha haja kwa mke akiwa bado hata shedo na lipstick za harusi hazija kauka.

Ilikuwaje? Jamaa anasimulia kuwa wakiwa wachumba mke alikuwa anamsihi hapendi kumwagiwa manii ndani ya papuchi wakiwa kwenye 6*6. Dada alitoa visingizio kedekede ikiwa ni pamoja na kuepuka mimba.

Njemba inasema ilivumilia sana hali hiyo ya kuchomoa gia anapo karibia kushusha mzigo. Anadai yeye starehe kubwa kwenye 6*6 ni ile hatua ya kushusha manii ndani ya papuchi. Siku moja moja alikuwa akimdanganya mpenzi wake huyo kuwa mzigo umeteleza hivyo umemwagikia ndani. Dada alijinunisha na kukatisha gemu kisha kwenda haraka kujiosha.

Njemba iliamini ikisha muoa dada huyo rasmi habari ya kuambiwa mwaga nje itaisha na hivyo ataponda raha kwa kwenda mbele.

Wakiwa honey moon njemba ilipanda ulingoni ikiwa imepania kuanza kuvuna matunda ya ndoa kwa kumwaga ndani. Yes kutokana na tashwishwi ilishughulika na kwa dakika chache ikaumwaga mzigo. Dada kumbe kachukia lakini hakumwambia njemba. Alitafuta visingizio vingine tu kuwa amechoka n.k.

Siku tano zikaisha kule hotel ambako waliopangiwa kula fungate na kurudi uswazi. Lakini siku zote hizi njemba ikiwa haijapiga shoo ya haja. Sasa wakiwa hapa nyumbani dada akawa akimwagiwa manii wakati wa goli la kwanza anapoteza mzuka na gemu inaishia hapo.

Jana usiku sasa njemba ikiwa na uhakika mkewe mzima wa afya hajafanya kazi yoyote wala mizunguko ya kumchosha ikajikoki ili ifidie siku zote hizo. Basi bwana njemba likapiga mzigo kwa mujibu wa maelezo yake ndani ya dakika chache likamwaga mzigo. Njemba ikajua hiyo ilikuwa stater tu bado shoo yenyewe. Likaanza kupapasa tena. Ndipo dada akamfingukia mshikaji kuwa yeye hapendi kumwagiwa ndani, akimwagiwa tu gemu inaishia hapo hapo. Hivyo dada akamwambia njemba kuwa mchezo kwa leo umeishia hapo.

Aaah! Sasa mimba nitakupachika vipi? Dada akasema hiyo mara moja ya kumwaga ndani inatosha kwa mimba. Lakini kama unataka muendelezo wa mchezo basi epuka kumwaga ndani.

Ndipo njemba likaona linanyimwa kile wanaume wengi wanachotaka na linapewa masharti ambayo wanaume wengi wanashindwa kuyamudu. Likaanza kishusha kichapo.

Hii imekaaje jamani? Masharti ya dada yanakubalika?

Nawasilisha.
 
Sasa jamaa anapompiga anazani ndo suruhisho? Kupiga ndo kuzidisha ugonjwa, cha msingi alipaswa kukaa naye chini Kwa upole; huenda mdada Wa watu kaolewa na jamaa ambaye hajavutiwa kuzaa nae, hataki kabisa kuzaa na mwanasesele, yamkini kafunga ndoa ili kukamilisha mipango yake tu ila kiukweli hampendi, hiyo ipo sana ...mwanamke kama hakupendi mapenzi yake atakupa pasi tu hajisikii.....kama unapendwa ukipiga ukimaliza yaaan unakandamizwa hadi daaah, mwanamke yaan mda wote anakuchokoza chokoza, Mimi Wangu huwa ananiambia anaipenda halufu ya boxer+pumb zinavonukia yeye anapenda balaaa, wakati mwingine anaweza chukua boxer moja anakaa nayo ili anuse pumbn
 
1466612284838.jpg
 
Back
Top Bottom