Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 129
ABC tv ndo tiv gani hiyo?
Kilichomuondoa TBC1 ni kuendelea kuonyesha vipindi vya kampeni za vyama vya upinzani ili khali CCM walishajitoa....
Kilichomuondoa TBC1 ni kuendelea kuonyesha vipindi vya kampeni za vyama vya upinzani ili khali CCM walishajitoa....
acha habari za kimbea hapa tunataka factskuna tetesi kuwa aliyekua bosi wa tbc tido mhando naye ameng'oa vitasa na kukwapua mapazia ya ofisi.
Mwenye tetesi kamili atujuze.
Atakuwa Jane Shirima aliyekuwa akimpamba Dk. jeykey...halaf ukizingatia nasikia jamaa anapumzikia pale....hilo halina ubishi kabisa!!!No wonder bosi mpya akawa mwanamke.
CNN au VOA siyo?Kwa kazi aliyofanyatbc hawezi kukosa kwingiine,
anacho lalamika ni nijinsi ulivyo kiukwa mkataba wake walitakiwa wamjulishe miezi 6 kabla ya mkataba wake kuisha kuwa hawataongeza mkataba hivyo kukaa kwao kimya kulishalia mambo safi kwake...
tena huyo ndio wanamtafutia speed...haiwezekaniwatu wakawa wanazingira wanaohesabu kura kwa kisingizio cha kulinda kura halafu yeye anashindwa hata kutoa demo kwa kumwaga vidamu kidogo tuuu!!! halaf mbaya zaidi...eti CDM wanachukua majimbo...polisi mlikuwa wapi??? sasa kitakachomkuta Mweeema ndicho kilichomkuta Tirdo!!!Bado mweema virungu havikutembea sana!
hii itakuwa ya Lowasa kule Arusha.ABC tv ndo tiv gani hiyo?
No wonder bosi mpya akawa mwanamke.
Ulimaanisha nini mkuuKuna tetesi kuwa aliyekua bosi wa TBC Tido Mhando naye ameng'oa vitasa na kukwapua mapazia ya ofisi.
Mwenye tetesi kamili atujuze.