Tibaigana: Nchi inahitaji Rais dikteta

Adolph Hitler alipata sympathy ya taifa hakuna alijaribu kumkosoa u c what he did is just a history.

magufuli sio mwanasiasa ni mtendaji so anaitaji check n balance otherwise it will b a danger to prosperity to our growing democracy n human right

Tanzania siyo Sweden or Denmark, unajua Singapore imeendeleaje? Soma historia ya Singapore baada ya uhuru na PM wao
Check n.balances peleka kwenye makatarasi ya mijadala ya kitaaluma. Tz hatuhitaji katiba ya kugawana madaraka which means kugawana ulaji na kuongeza ufisadi na.ubabe wa taasisi na mihimiki mingine ya dola.


Vilevile angalia kenya na progressive constitution yao bado wanalalamika hamna kinachoenda au nafuu ya maisha...bunge linataka nguvu zaidi na kuziabuse, rais anahonga wabunge wasifukuze mawaziri,the more things change the more they remain.the same.
Africa na Tanzania tuna mazingira yetu na tamaduni zetu hatuhitaji too liberal or progressive constitution kuendelea kijamii na kiuchumi tunahitaji upeo, na.participation na elimu ya wananchi iongezeke kwanza na capacity ya tassisi za kitaifa kuinuliwa na strong executive kwanza ndiyo baadae tena baadae sana tupate hiyo katiba unayoitamani wewe...
Hatuwezi tukawa na tume huru ya uchaguzi huku Rostam akiwa na uwezo wa kuihonga yote bila kipingamizi chochote na.kutuwekea rais wake
Hatuwezi tukawa na tax boss anashiriki upotevu au uzembe na executive hawawezi mfukuza hadi msururu mrefu wa kikatiba utakaopitia wapi sijui bunge au mahakama au kamati mojawapo ya katiba
Hatuwezi tukawa na bunge lafi litakalojipangia posho zake na kujiongozea nguvu nyingine za kikatiba huku executive ikiwa butu inaangalia tu

Jipange upya Assad wa Syria kama umetumwa wafikishie ujumbe maboss wako
 
Thanks mkuu

umesoma post na umeelewa concern yangu. Hitler alikua na 90% popularity in German ikampa kiburi akatupa utawala sheria Kyle, akakanyaga haki za binadamu kisha akaamini no one like him ilikua kidogo aungamize ulimwengu
tunataka maamuzi. magumu yanayotii sheria na haki za binadamu that is all
 
Ubabe bila akili = kufeli. Dunia ya sasa udikteta hauna tena faida, sasa ivi inahitaji mfumo mzuri, ufatiliaji mzuri, utekelezaji mzuri, uongozi bora, nk ili nchi iendelee. Kina Hitler ni wakati ule jamani
Msimu wa ngonjera na maigizo unayoyasima ndio yaliyotufikisha hapa tulipo, kwa sasa hayana nafasi tena kama na wewqe ni jipu jisalimishe mapema kama hujatumbuliwa bila ganzi.
 
Nilitaka kumchangia jamaa yangu mchango wa harusi kwa kumtumia gari kwa kukwepa na ku invade tax pale bandarini then nikafiri WhatWouldMagufuliDo.
 
mwl Nyerere once a time alisema km nigetaka kuwa dicteta ningeweza. hivi sasa watanzania tumepata upofu wala hatuoni tena. nimewahi kusema kwenye post zangu kuwa IPO ck watanzania watamkumbuka rais kikwete.

kwanini niseme ivo, twende pamoja na kama unamatongotongo kanawe,na kama umemeza viroba kaa mbali na hii post,only great thinkers.

1. Vitisho na hofu
ukubali au ukatae magufuli sasa anaogopwa na amejaza hofu wananchi haswa wafanyakazi na wafanyabiashara. kumbekeni Adolph Hitler alishinda uchaguzi wala hakupindua serikali pia alipata public sympathy hata pale alipokesea. tazama sasa hata hii post kuna watu watakosoa bila kujali relevance yake.

2. KUVUNJWA KWA HAKI ZA BINADAMU.
hivi sasa unaweza kuweka polisi bila kushtakiwa mfano. hivi jeuri ya Paul Makonda yakumweka MTU kizuizini bila kumpeleka mahakamani ni uvunjaji wa haki za binadamu. sasa ivi kila mkuu wa wilaya anaamua tu kwa ubabe hats bila kuangalia haki za binadamu.

3.KUVUNJWA KWA UTAWALA WA SHERIA.
KUNA uvunjaji wa sheria wazwazi huku wananchi wakichekelea. mh magufuli binafsi alidai atavunja nyumba ambayo inazuia bomba la maji hata km kesi IPO mahakamani kisha watu wanachekelea hii no hatari. kuna bomoa bomoa ambazo zinaendelea hata km kuna pingamizi la mahakama zinavunjwa tu kwa jeuri. pia polisi mwanza walivunja sheria kuzuia kuagwa kwa mawazo.chekeleeni lakini lilikufika u will understand the rule of law what does it mean?. kuna mkuu wa wilaya geita amefukuza kaxi daktari bila kufata utaratibu wa Sheriakupitia kwa mwajiri yani mkurugenzi. OK just laugh and enjoy but it will b u one day

4UBABE NA JEURI.
BAADJI ya viongozi sasa wamejawa na ubabe na jeuri ambayo ni sifa ya madikteta. hatuitaji viongozi wababe. tunataka mifumo iliopo wazi kuanzia mtaani hadi wilayan km sio taifa. MTU anawezeje kufuta likizo ya mtumishi ambayo ni haki yake km so jeuri na ubabe nothing else u can say.

conclusion.
Naomba tuangalie mifumo ya uongozi na utawala wa nchi yetu. kuliko magufuli kuwafukuza watu kila siku tatizo sio watu ni mfumo. napendekeza katiba mpya ipigiwe kura ili ianze kutumika. tuache ubabe na vitisho. Magufuli asipowekewa check n balance na kamati kuu believe m he will be a dictator .

Umesahau Mkuu wa mkoa kumzaba makofi mtumishi
 
Assadsyria naona umeamua kuungana na team Mafisadi. Pole sana. Ndege ipo angani sasa. Ni mbele kwa mbele mpaka mnyooke
 
mwl Nyerere once a time alisema km nigetaka kuwa dicteta ningeweza. hivi sasa watanzania tumepata upofu wala hatuoni tena. nimewahi kusema kwenye post zangu kuwa IPO ck watanzania watamkumbuka rais kikwete.

kwanini niseme ivo, twende pamoja na kama unamatongotongo kanawe,na kama umemeza viroba kaa mbali na hii post,only great thinkers.

1. Vitisho na hofu
ukubali au ukatae magufuli sasa anaogopwa na amejaza hofu wananchi haswa wafanyakazi na wafanyabiashara. kumbekeni Adolph Hitler alishinda uchaguzi wala hakupindua serikali pia alipata public sympathy hata pale alipokesea. tazama sasa hata hii post kuna watu watakosoa bila kujali relevance yake.

2. KUVUNJWA KWA HAKI ZA BINADAMU.
hivi sasa unaweza kuweka polisi bila kushtakiwa mfano. hivi jeuri ya Paul Makonda yakumweka MTU kizuizini bila kumpeleka mahakamani ni uvunjaji wa haki za binadamu. sasa ivi kila mkuu wa wilaya anaamua tu kwa ubabe hats bila kuangalia haki za binadamu.

3.KUVUNJWA KWA UTAWALA WA SHERIA.
KUNA uvunjaji wa sheria wazwazi huku wananchi wakichekelea. mh magufuli binafsi alidai atavunja nyumba ambayo inazuia bomba la maji hata km kesi IPO mahakamani kisha watu wanachekelea hii no hatari. kuna bomoa bomoa ambazo zinaendelea hata km kuna pingamizi la mahakama zinavunjwa tu kwa jeuri. pia polisi mwanza walivunja sheria kuzuia kuagwa kwa mawazo.chekeleeni lakini lilikufika u will understand the rule of law what does it mean?. kuna mkuu wa wilaya geita amefukuza kaxi daktari bila kufata utaratibu wa Sheriakupitia kwa mwajiri yani mkurugenzi. OK just laugh and enjoy but it will b u one day

4UBABE NA JEURI.
BAADJI ya viongozi sasa wamejawa na ubabe na jeuri ambayo ni sifa ya madikteta. hatuitaji viongozi wababe. tunataka mifumo iliopo wazi kuanzia mtaani hadi wilayan km sio taifa. MTU anawezeje kufuta likizo ya mtumishi ambayo ni haki yake km so jeuri na ubabe nothing else u can say.

conclusion.
Naomba tuangalie mifumo ya uongozi na utawala wa nchi yetu. kuliko magufuli kuwafukuza watu kila siku tatizo sio watu ni mfumo. napendekeza katiba mpya ipigiwe kura ili ianze kutumika. tuache ubabe na vitisho. Magufuli asipowekewa check n balance na kamati kuu believe m he will be a dictator .



Mkuu.hayo ya Utawala bora sijui wa sheria ndo uliotufikisha hapa kila mtu analalamika. Rais analalamika, Waziri analalamika, Katibu mkuu analalamika, Mbunge analalamika, Mwananchi wa kawaida nae analalamika na wewe inaelekea unalalamika. Tunataka mtoa maamuzi sasa.

Tunataka tutoke huko. Tupishe. Kama nchi tumechelewa acha huyu jamaa atumbue kwanza haya majipu japo watakaoumia ni wengi.
 
Mtoa mada usikute kwenye izi timua timua kaguswa.
Udikteta wa aina hii waitajika sana kwa ustawi wa Tz.
Mliozoea mdebwedo hameni inchi.
 
Tunataka dikteta maana kupiga madili mshageuza kuwa taaluma.

Kwani nani kakwambia ukiwa na kiongozi dikteta watu hawapigi dili? Tofautisha udikteta wa karne ya 19 ulaya magharibi na huu wa afrika. magharibi Ulikuwa ni udikteta wa Sera za nje ambao unakusanya Mali nje ya nchi na kujenga uchumi ndani, udikteta wa ndani Ulikuwa unasaida tu udikteta wa nje. Ndio maana watawala bao walikuwa wanapendwa ndani na kuchukiwa nje. Kwa maoni yangu kwa kiasi Fulani model hii imefuatwa na Rwanda ya sasa. Lakini kama udikteta ungekuwa maendeleo basi nchi za Afrika na America ya kati zingekuwa ndio zinazoongoza kwa sasa. Lakini udikteta wa nchi hizi ni wa ndani tu, ukandamizaji wa upinzani na haki za binadamu na kuua himaya ya wanufaika wa zamani na kutengeneza wapya. Moja ya sifa kuu za udikteta ni "identification of enemy" kwa bahati mbaya kuna watu wanataka walazimishe hoja kuwa adui wa taifa hili ni watumishi wa umma na wafanyabiashara. Hapana, kuna watumishi wengi wa umma ni waadilifu na ni kweli kuna wachache wazembd, mafisadi n.k. Tuwapongeze hao wengi kwa vile taifa letu bado limesimama madhubuti tena pamoja na tuinge mkono serikali yetu kwa kusafisha wale wabaya wachache, huo wala sio udikteta Bali ni wajibu wa haki ambao serikali yoyote makini inapaswa kafanya. Inawezekana hatukumuunga mkono Rais wetu katika sanduku LA kura, makini sasa kama RAIA mwema tunapaswa kumuunga mkono, sio udikteta Bali wajibu uliotukuka wa kiongozi makini kwa taifa lake maskini na la watu maskini.
 
Mkuu una points za msingi, hii ndio tofauti ya EL na JPM "EL anasikiliza halafu anaamua ila huyu ngosha yeye akija anakuja na maamuzi yake kwa maelezo toka external source ila yote kwa yote ni heri huyu ngosha kuliko yule jamaa wa Mtama.
 
Hata wewe assadsyria3 walalamika? Duh. Jamaa kweli kashika makali.
Mkuu, katumwa huyo na utawala ulioshindwa. Kile kicheko cha mzee wa kaya aliyemaliza muda wake kuhusu mashine za MRI kina jambo ndani yake. Ndo hawa tunawaona wanaweweseka sasa na kumsema vibaya Magufuli
 
kama udikteta wenyewe ndio huo wa kuchukua fedha za sherehe na kununulia vitanda vya hospital aendelee tu na huo udikteta.

watu wanakwepa kodi hatua zikichukuliwa mnalalamika kama hamtaki watu walipe kodi pekekeni mswada bungeni kodi zote zifutwe.

kuongoza watanzania ni shughuli ngumu sana.
Nyumba toka 1986 IPO Leo inavunjwa mnafurahi.ebu muwe na huruma kwa wtz wenzenu kuna msemo ukinyoosha kidole kimoja kwa mwenzio kumbuka vinne vyaja kwako labda uwe unapanga iko siku na wewe utaambiwa huna ramani
 
Mkuu.hayo ya Utawala bora sijui wa sheria ndo uliotufikisha hapa kila mtu analalamika. Rais analalamika, Waziri analalamika, Katibu mkuu analalamika, Mbunge analalamika, Mwananchi wa kawaida nae analalamika na wewe inaelekea unalalamika. Tunataka mtoa maamuzi sasa.

Tunataka tutoke huko. Tupishe. Kama nchi tumechelewa acha huyu jamaa atumbue kwanza haya majipu japo watakaoumia ni wengi.

ck utakapovunjiwa nyumba kinyume cha sheria itaelewa,ck utakapofukuzwa kisa ulimpeleka mkeo hospitalin utaelewa maana ya sheria ni nn
 
Back
Top Bottom