Tiba ya kudumu ya bilateral adenoids &tonsilits

NZURI PESA

JF-Expert Member
Mar 25, 2011
5,959
2,938
Habari wakuu,matabibu,madakta na wenye uelewa wa hii kitu. Mwanangu alikuwa natatizo linalotambulika adenoids tonsilits.amekwisha fanyiwa upasuaji mara 5 toka mwaka 2005 -2011 ktk hospitali ya Taifa Muhimbili. TONSILECTOMY ADENOTOMY mara 2 na ADENOTOMY pekee mara 3.na mara ya mwisho ni Juni 2011.Hivi sasa anapata tabu kupumua na anakoroma sana. Naomba ushauri wenu kama kuna TIBA mbadala zaidi ya UPASUAJI.Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom