Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,124
- 13,614
Kwanza niambie,nifanye nini..??🤣🤣🤣
Enheee Umeanza.
Hadi nabadilika rangi kwa hofu.
Kwanza niambie,nifanye nini..??🤣🤣🤣
Enheee Umeanza.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Itaanza vip badae!?, kwani una uke Mkuu?
Nakazia HapaLakini macho makubwa napenda zaidi
Ataua bacteria wenye kazi maalumu hapo na hilo lundo la vitunguu..Jamani mnataka watu wapate maradhi zaidi vizuri ni kunywa sio kuweka huko
Nakazia mkazo wako.Nakazia Hapa
Nakazia mkazo wako.
Nakazia Hapa
SIKAZIIID yake naipiga marufuku muda si mrefu🤣
Tafuta mawe ya makobo,yavunje Kisha chukua majani ya katikati baada ya kuyavunja mawe, Yale majani yaweke kwenye maji kisha ayatumie kujisafisha kwenye injini yake ndani ya siku tatu tu hilo tatizo litaisha. Mawe ya makobo yanapatikana kwenye maduka wanayouza dawa za asili.Siku hizi ni kama nina bahati mbaya yaan Kila nikiotea kibint nakuta kinanuka ukeni .....yaan vingine vidogo tu lkn balaa....
Naomba msaada wa matibabu ya hii kitu maana Kuna bint mmoja alinisumbua miaka minne ndio kanikubalia siku kuu ya juzi....sasa nikajipanga kupiga doz ya maana lkn bahati mbaya nikakuta ana harufu mbaya sana kama samaki mbichi aliyeoza.... kwakweli niliishiwa pozi mpaka mawazo ya kufikilia kumuona yakakata.
Ila sasa kwasababu nampenda ndio nikaona niombe msaada wa matibabu ya huo ugonjwa Kwa anayefahamu ili atibiwe mm niendelee naye maana bint huyu kachanganya uchagani na unyakyusani...sasa kachukua sura ya Moshi na umbile la Mbeya....hatari sana..
Asante
Kuna binti wa watu alikuwa na shida hiyo nikamtafutia hii dawa, shida ikaisha.Siku hizi ni kama nina bahati mbaya yaan Kila nikiotea kibint nakuta kinanuka ukeni .....yaan vingine vidogo tu lkn balaa....
Naomba msaada wa matibabu ya hii kitu maana Kuna bint mmoja alinisumbua miaka minne ndio kanikubalia siku kuu ya juzi....sasa nikajipanga kupiga doz ya maana lkn bahati mbaya nikakuta ana harufu mbaya sana kama samaki mbichi aliyeoza.... kwakweli niliishiwa pozi mpaka mawazo ya kufikilia kumuona yakakata.
Ila sasa kwasababu nampenda ndio nikaona niombe msaada wa matibabu ya huo ugonjwa Kwa anayefahamu ili atibiwe mm niendelee naye maana bint huyu kachanganya uchagani na unyakyusani...sasa kachukua sura ya Moshi na umbile la Mbeya....hatari sana..
Asante
Kwakweli hatariAtaua bacteria wenye kazi maalumu hapo na hilo lundo la vitunguu..
Kale kaharufu... Kalikuwa kanaleta handasi!Kampime hatskosa either magonjws ya zinaa / UTI . Na kisfrica kabisa kuna dawa ya asili itstoa hilo tatizo kabisa, asage vitunguu saumu, vipondeke kabisa, avifunge keenye kitambas kissfi, avitumbukize ukeni usiku akiwa amesha oga alale kitambaa kikiwa ukeni, asubuhi akikitoa ataona uchafu meingi umevutwa kwenye kitambaa, akisafishe na maji ya moto, usiku tena afanye hivyo ndani ya siku ttatu, then leta majibu. Utakuja kunishukuru.
Mkuu hapo mwanauHiyo ni dalili mojawapo ya magonjwa ya PID.Yeye binafsi anajua na yawezekana alishachoma sindano,kumeza vidonge na kupaki kila aina ya dawa lakini huwa inarudi.Usimlaumu wala kumfikria vibaya maana ni magonjwa kama magonjwa mengine na mwanamke yeyote anaweza kupata,tena kwa sasa wanawake wengi wana hii shida inawatafuna miaka nenda rudi,mimi najua maana napambana nao sana.Mwanaume pia unaweza kuwachukua hao Bakteria kupitia kujamiiana na wakigawanyika vizuri dalili zake ni kama za gono.Magonjwa haya ya PID ni tishio sana na inapelekea mpaka kansa ya mlango wa kizazi na hata ugumba kwa wanawake wengi.Kwa hiyo mpambanie apate tiba ya uhakika utamsaidia!!
Mkuu hapo mwanaume akiugua je anaweza jutibu kwa namna ipi?Hiyo ni dalili mojawapo ya magonjwa ya PID.Yeye binafsi anajua na yawezekana alishachoma sindano,kumeza vidonge na kupaki kila aina ya dawa lakini huwa inarudi.Usimlaumu wala kumfikria vibaya maana ni magonjwa kama magonjwa mengine na mwanamke yeyote anaweza kupata,tena kwa sasa wanawake wengi wana hii shida inawatafuna miaka nenda rudi,mimi najua maana napambana nao sana.Mwanaume pia unaweza kuwachukua hao Bakteria kupitia kujamiiana na wakigawanyika vizuri dalili zake ni kama za gono.Magonjwa haya ya PID ni tishio sana na inapelekea mpaka kansa ya mlango wa kizazi na hata ugumba kwa wanawake wengi.Kwa hiyo mpambanie apate tiba ya uhakika utamsaidia!!
Sio maradhi tu, bali hivyo vitunguu akiamka asubuhi atakuta vimeanza kuchepua.Jamani mnataka watu wapate maradhi zaidi vizuri ni kunywa sio kuweka huko
Mwanaume pia kama ilivyo kwa mwanamke anaweza kutumia Antibiotics kujitibu.Lakini kwa namna dawa nyingi za hosp zinavyofeli katika kutatua changamoto hizi ndiyo maana ugonjwa huu umekuwa mwingi na sugu kwa watu wengi,ni vile tu watu hawasemi hadharani,lakini katika wanawake 10 wanawake 5 wanaweza kuwa na hii shida na hata wanaume wengi wanatokwa na viuchafu na wakati mwingine viusaha sehemu zao za siri. Kwa hiyo wachache wanaojiongeza na kuamua kutafuta tiba mbadala,huku kwenye tiba mbadala ni mwendo wa dawa za mitishamba tu.Mkuu hapo mwanau
Mkuu hapo mwanaume akiugua je anaweza jutibu kwa namna ipi?
Naunga mkono hoja, aje wa kinamama na wakina baba, alete tiba sahihi na dalili kwa both of themDaktari wa magonjwa ya akina mama atafutwe.
Hivi vitunguu haviwashi?Kampime hatskosa either magonjws ya zinaa / UTI . Na kisfrica kabisa kuna dawa ya asili itstoa hilo tatizo kabisa, asage vitunguu saumu, vipondeke kabisa, avifunge keenye kitambas kissfi, avitumbukize ukeni usiku akiwa amesha oga alale kitambaa kikiwa ukeni, asubuhi akikitoa ataona uchafu meingi umevutwa kwenye kitambaa, akisafishe na maji ya moto, usiku tena afanye hivyo ndani ya siku ttatu, then leta majibu. Utakuja kunishukuru.
astakafulilaiii🤮🤮🤮Duh Harufu ukeni ni hatari asee! Mtu anaenda kupiga deki anakutana na smell 🤮🤮🤮🤮
God forbid