ninaomba kuipata cd yake .niko moshi please niagizieni nitapataje?
Mwenyewe nilipouona tu mara ya kwanza niliupenda, na nilipokuja kujua maana yake niliupenda zaidi....Ndo nimeuona hapa nimeupenda pia asante.
Habari ya wikiendi yako
vipi kipindi cha kuabudu na kusifu kanisani wiki hii
have you enjoyed?
Mwenyewe nilipouona tu mara ya kwanza niliupenda, na nilipokuja kujua maana yake niliupenda zaidi....
Week end was nice, though nilikuwa na kihoma kidogo, and niliingia kanisani nimechelewa kidogo jana... but i enjoyed a fellowship with other members and Experienced God's love in a tremendous way, how was it on your side?