The Worlds Dirtiest Cities!

Hhm Nakubaliana na wewe kuhusu uchafu wa jiji hili la Dar ambao ni wa kuaibisha. Nadhani wengi wetu ijapokuwa tunajifanya tumestaarabika lakini kwa kweli bado tunao ushamba ndani ya mioyo yetu.

Hata na mimi huchukia sana kuona mtu anafungua kioo cha gari na kutupa chupa au takataka nyengine barabarani bila ya aibu. Mimi nikiwa nyuma ya gari aina hilo humuwashia taa kama ishara ya kutopendezewa na lile alilolifanya, ijapokuwa inawezekana sana yeye mwenyewe asielewe kusudio langu.

Mfano mwengine unamwona mtu mtanashati anaishi kwenye jumba la fahari huko Mbezi beach lakini ndani ya compound yake bado kuna ng'ombe na mbuzi na kuku ambao anafuga. Jamani sisi majirani huwa munatukera sana lakini hatuna la kufanya maana hayo mapumba munayolishia wanyama ndiyo yanayoongeza idadi ya mapanya kwenye nyumba ya mfugaji pamoja na jirani. Unajitahidi kununua sumu ya panya na kufanikiwa kucontrol

Na ng'ombe hao utakuta ameajiri kijana anawatembeza barabarani eti kutafuta majani na mwishowe kusumbua madereva na hata wapita njia.

Musijitetee kwamba eti unapunguza makali ya maisha, kweli ungeweza kujenga nyumba nzuri kama huna fedha za kumwaga?
 
Ndugu badala ta kuwashtumu labda ungewasaidia kwa kuwapa mbinu mbadala wa kulifanya ili jiji liwe safi! Kumbuka ili kuweka mazingira safi siyo kazi ya viongozi tu.

Wakazi wa jiji ili wengi wao ni wachafu wa kutupwa ata ukiwawekea sahemu za kutupa taka hawatafanya hivyo bali watatupa ovyo ovyom kwa mtindo huu jiji litakuwa safi kweli?
 
Hivi wana jamii wenzangu...watanzania wenzangu swala la Uchafu wa Huo mji wa Dar-Es-Salaam kwanini mnaufumbia macho????.... Manispaa za Jiji hilo zimeweza kuweka Majembe Auction Mart kudhibiti madereva wanaotumia barabara vibaya ....Kwanini zisiweke Majembe wengine kudhibiti Usafi wa Jiji???? Unakuta Mtu kanyonga tai yake tena yupo kwenye gari yakifahari Range Rover Vogue kanywa maji anafunguwa kioo na kutupa chupa ya maji nje!!! Haya wale wachina waliopewa tender yakutuwekea drainage system za mji walikuwa wametusaidia bureee au ni Pesa zetu walipa Kodi??? Yaani kwa Uchafu wa JIJI HILO ni bora IKULU IHAMISHIWE MJI WA MOSHI ni aibu kubwa hiii...

Hapo kenye red nina maana hizo chupa sio issue sana kwani inawapa kula wale wanaopita kuziokota nao wakapate riziki mbele kwa mbele! ila sas kuna watu unakuta wanatema makohozi barabarani wanakojoa hovyo hii kwa kweli inaboa sana kwani ndio mwazo wa kuambukizana magonjwa...condoms zimezagaa mabarabarani jamani...mji wa moshi ukipita barabarani heshima inakuwa mbele hata kama watafuna banzoka inabidi ikiisha uihifadhi ukatupe either kwenye hizo dustbeen walizoweka barabarani au uende nayo kwenu ukishikwa watupa barabarani kuna faini zake...kweli Dar ni chafu sana....
 
Inatakiwa mtu yeyote akionekana anachafua mazingira kwa namna yoyote ile ahukumiwe adhabu ya kifungo au atozwe faini au vyote viwili ili iwe fundhisho kwake ili asirudie na kwa wengine pia. Hii ingekuwa njia mojawapo ya kuiingizia serikali mapato. Inawezekana sheria zipo ila hazizingatiwi au hazisimamiwi ipasavyo katika utekelezaji.
 
Hivi wana jamii wenzangu...watanzania wenzangu swala la Uchafu wa Huo mji wa Dar-Es-Salaam kwanini mnaufumbia macho????.... Manispaa za Jiji hilo zimeweza kuweka Majembe Auction Mart kudhibiti madereva wanaotumia barabara vibaya ....Kwanini zisiweke Majembe wengine kudhibiti Usafi wa Jiji???? Unakuta Mtu kanyonga tai yake tena yupo kwenye gari yakifahari Range Rover Vogue kanywa maji anafunguwa kioo na kutupa chupa ya maji nje!!! Haya wale wachina waliopewa tender yakutuwekea drainage system za mji walikuwa wametusaidia bureee au ni Pesa zetu walipa Kodi??? Yaani kwa Uchafu wa JIJI HILO ni bora IKULU IHAMISHIWE MJI WA MOSHI ni aibu kubwa hiii...

kABISA!
 
Carthbet L, Umenisikitisha sana...

Kama wewe ni mmoja wa viongozi wetu wa jiji la Dar HUFAI tena HUFAI HATA KIDOGO!! kweli una maana kuwa Serikali imeshindwa Kusimamia Usafi wa Jiji hilo mpaka linabakia kama dampo!!! naomba Uje Moshi upewe semina na viongozi wa mji huu ujifunze jinsi yakusimamia usafi katika Jiji....Sasa unataka nikushauri jinsi yakusimamia Usafi wa jiji wakati kodi na ushuru mbali mbali vinakatwa kila siku HIZO PESA ZINAFANYA NINIIIII???????

Haya!! Hebu niambie hayo magari yenu yaliyoandikwa TEKA na mengine mengi yamebeba uchafu na pasipo ustaarabu linapita kwa fujo huku uchafu unamwagika hovyo hovyo bila hata kujali....HAPO NIKUSHAURI NINI ndugu yangu?????

Yani wananchi tuchangie kodi halafu bado tuwafundishe jinsi yakuzitumia kwa faida ya nchi!!! Una sababu gani ya kukaa hapo sasa........ PESA HAZIELEKEZWI KWENYE MAENEO HUSIKA NI WIZI MTUPU.....Carthbeeeeet nini bwanaaaa Tumechoka sasaa dah!!!....WRK UUUUUP Upo wapi weweeee??????....gash!!!
 
Mji wa Dar es salaam ni mchafu sana, yaani mchafu sanaaaaaa, aibu tupu. ila nakataa kuhamishiwa moshi, ihamishiwe dodoma kama kawaida ya ilivyokuwa inatakiwa. huwa naona aibu.

Ukishuka uwanja wa ndege hap Dar, unapotoka kuanzia pale kwenye shelli ya BP kuelekea mtaani, tayari unajua umeshafika Africa, matatizo ya kunuka, hewa chafu, watu wamekojoakojoa ovyo tu mtaani, wametupa chupa za maji ovyo, hakuna watu wanaofagia.

WEWE UNAYESEMA TUACHE WATU WATUPE CHUPA ILI ZIWAPE WENGINE AJIRA YA KUZIOKOTA sikubaliani na wewe. Serikali inasema inataka kutoa ajira milioni mbili, hiii ilikuwa ajira mojawapo, kuajiri watu wafanya usafi, kutoa tenda za watu wenye magari ya ukusanyaji taka, kununua na kuweka vyombo vikubwa ambavyo mtu atatupa taka zozote wakati wowote ili zije zibebwe na magari badaye, lakini wao wamekalia ofisi tuuuu, wakienda ulaya wanashangaaaa utafikiri watabadilika, wakirudi bongo wako vilevile.

Aibu jamani.
 
Hapo kenye red nina maana hizo chupa sio issue sana kwani inawapa kula wale wanaopita kuziokota nao wakapate riziki mbele kwa mbele! ila sas kuna watu unakuta wanatema makohozi barabarani wanakojoa hovyo hii kwa kweli inaboa sana kwani ndio mwazo wa kuambukizana magonjwa...condoms zimezagaa mabarabarani jamani...mji wa moshi ukipita barabarani heshima inakuwa mbele hata kama watafuna banzoka inabidi ikiisha uihifadhi ukatupe either kwenye hizo dustbeen walizoweka barabarani au uende nayo kwenu ukishikwa watupa barabarani kuna faini zake...kweli Dar ni chafu sana....

Tete'a'tete...Look here!!! hakuna kisicho issue katika swala la uchafu bwana.... Uchafu ni BIG isue.... Nashukuru sana kwa kuyaona hayo pia na ukweli Hili jambo la ustaarabu haliwezi kuwepo kama watu wasiponyooshwa...Hivi watu wanafikiri mji wa Moshi umefanikiwa kwa Usafi kimiujiza????? watu walilambwa bakora kisawaasawa mpaka wakanyooka.... Inabidi Viongozi wa Jiji hilo waige mfano....
 
sasa ikihamishiwa huko Moshi sipati picha kamili

First Lady Picha Ni kwamba...Viongozi watazoea kupita na kuishi maeneo masafai na kuvuta harufu nzuri na mwisho wa siku watachukia uchafu hatimae Tanzania Nzima itakuwa SAFI.... Kwa sasa hivi uchafu katika Jiji hilo umezoeleka na hao viongozi hauwakeri...
 
I think they put alot of factors into consideration when coming up with the pollution index. Its not physical dirt alone that they considered, I think all manners of pollution from noise, water, air pollution were all factored in, so dont let this poll cloud your judgment, Dar is a pretty clean city. ijumaa kareem
 
Tete'a'tete...Look here!!! hakuna kisicho issue katika swala la uchafu bwana.... Uchafu ni BIG isue.... Nashukuru sana kwa kuyaona hayo pia na ukweli Hili jambo la ustaarabu haliwezi kuwepo kama watu wasiponyooshwa...Hivi watu wanafikiri mji wa Moshi umefanikiwa kwa Usafi kimiujiza????? watu walilambwa bakora kisawaasawa mpaka wakanyooka.... Inabidi Viongozi wa Jiji hilo waige mfano....


ma colleague juzi hapo moshi katozwa fani ya 50 kwa kutupa kipic cha cgara, mji wa moshi bwana kwa usafi ndio wenyewe, yaani ukifika kweli unaukubali mwenyewe.....
 
right away ni uzembe wa jiji authority, kwani wannchi wa moshi wao wamefanywaje hata kila mwananchi ni kiongozi wa mwenzie? ni kuchange attitude ya watu basi! ukikamatwa unatupa taka faini elfu50 au jela, ikiwa nje ya duka lako ni pachafu wahusika faini na jela, hata ktk majumba yetu pia! ikiwa zoezi endelevu kila mtu atakuwa aware. tabu jiji la dar viongozi wetu ni moto wa makaratasi! kule singapore walianza tabia ya kusafi jiji lao kwa kushinikizwa sasa imekuwa tabia yao! ebu nenda moshi utupe chupa ya maji, au ganda la chungwa upate habari yake! Ni attitude tu kuichange!
 
No. 12: Dar es Salaam, Tanzania

304526_f520.jpg




Mercer Health and Sanitation Index Score: 40.4

The capital of this east African country continues to grow populationwise, putting a stress on the city's sanitation programs. Solid waste, entering the Msimbazi River, contributes to widely spread infectious diseases among the population..




Mpo CCM?
 
Ah kumbe wa 12 huko, nje ya kumi chafu! wala sio issue... halafu hivi kwanini tunapenda kukuza mabaya yetu na kudharau kabisa mazuri yetu? mapungufu yanakuwepo lakini tuna jukumu pia la kuandika na kutangaza mazuri yetu ili tujijenge moyo kuwa nasi tupo
 
Ah kumbe wa 12 huko, nje ya kumi chafu! wala sio issue... halafu hivi kwanini tunapenda kukuza mabaya yetu na kudharau kabisa mazuri yetu? mapungufu yanakuwepo lakini tuna jukumu pia la kuandika na kutangaza mazuri yetu ili tujijenge moyo kuwa nasi tupo


Acha uwongo weye! Ni mazuri yepi tuliyokuwa nayo? Wakati nchi inaliwa na mafisadi?

The World's 25 Dirtiest Cities. - Page 4

NYC Partnership Consulting's quality of cities ranking covers 245 capitals and largest cities of world, of these, 30 capitals and cities are believed the dirtiest in the world.

Here they are:

1. Baku, Azerbaijan
2. Addis Ababa, Ethiopia
3. Mexico City, Mexico
4. Buenos Aires, Argentina
5. Antananarivo
6. Dhaka, Bangladesh
7. Kathmandu, Nepal
8. Dar-es-Salaam, Tanzania
9. Bangui, Central African Republic (CAR)
10. Lome, Togo
11. Pointe-Noire, Congo
12. Moscow, Russia
13. Pretoria, South Africa (South Africa)
14. Ouagadougou, Burkina Faso
15.
Bamako, Mali
16. Bishkek, Kyrgyzstan
17. Caracas, Venezuela
18. Luanda, Angola
19. Marrakech, Morocco
20.
Baghdad, Iraq
21. New Delhi, India
22. Jakarta, Indonesia
23. N'Djamena, Chad
24. Brazzaville, Congo
25. Alma-Ata, Kazakhstan
26. Havana, Cuba
27. Cairo, Egypt
28. Nairobi, Kenya
29. Tehran, Iran
30. Bogota, Colombia
 
Acha uwongo weye! Ni mazuri yepi tuliyokuwa nayo? Wakati nchi inaliwa na mafisadi?

The World's 25 Dirtiest Cities. - Page 4

NYC Partnership Consulting's quality of cities ranking covers 245 capitals and largest cities of world, of these, 30 capitals and cities are believed the dirtiest in the world.

Here they are:

1. Baku, Azerbaijan
2. Addis Ababa, Ethiopia
3. Mexico City, Mexico
4. Buenos Aires, Argentina
5. Antananarivo
6. Dhaka, Bangladesh
7. Kathmandu, Nepal
8. Dar-es-Salaam, Tanzania
9. Bangui, Central African Republic (CAR)
10. Lome, Togo
11. Pointe-Noire, Congo
12. Moscow, Russia
13. Pretoria, South Africa (South Africa)
14. Ouagadougou, Burkina Faso
15.
Bamako, Mali
16. Bishkek, Kyrgyzstan
17. Caracas, Venezuela
18. Luanda, Angola
19. Marrakech, Morocco
20.
Baghdad, Iraq
21. New Delhi, India
22. Jakarta, Indonesia
23. N'Djamena, Chad
24. Brazzaville, Congo
25. Alma-Ata, Kazakhstan
26. Havana, Cuba
27. Cairo, Egypt
28. Nairobi, Kenya
29. Tehran, Iran
30. Bogota, Colombia

kwa hivyo sisi hapa ni namba nane, ila kuna uwezakano kwa sasa tukashika namba 2 bila shaka
 
Acha uwongo weye! Ni mazuri yepi tuliyokuwa nayo? Wakati nchi inaliwa na mafisadi?

The World's 25 Dirtiest Cities. - Page 4

NYC Partnership Consulting's quality of cities ranking covers 245 capitals and largest cities of world, of these, 30 capitals and cities are believed the dirtiest in the world.

Here they are:

1. Baku, Azerbaijan
2. Addis Ababa, Ethiopia
3. Mexico City, Mexico
4. Buenos Aires, Argentina
5. Antananarivo
6. Dhaka, Bangladesh
7. Kathmandu, Nepal
8. Dar-es-Salaam, Tanzania
9. Bangui, Central African Republic (CAR)
10. Lome, Togo
11. Pointe-Noire, Congo
12. Moscow, Russia
13. Pretoria, South Africa (South Africa)
14. Ouagadougou, Burkina Faso
15.
Bamako, Mali
16. Bishkek, Kyrgyzstan
17. Caracas, Venezuela
18. Luanda, Angola
19. Marrakech, Morocco
20.
Baghdad, Iraq
21. New Delhi, India
22. Jakarta, Indonesia
23. N'Djamena, Chad
24. Brazzaville, Congo
25. Alma-Ata, Kazakhstan
26. Havana, Cuba
27. Cairo, Egypt
28. Nairobi, Kenya
29. Tehran, Iran
30. Bogota, Colombia

Phew!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom