Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,693
- 20,454
W. J. Malecela mwenyewe ni mod, ingawa alishawahi kupewa ban. Lakini bado nasisitiza, alichosema Le Mutuz baharia nakiunga mkono kwa 100%Mods uzi huu umetumia lugha ya kuichokoza imani ya Kiislamu. Naomba kwa maslahi ya utulivu wa taifa UFUTWE. Tafadhalini sana! W. J. Malecela amevuka mipaka ya uhuru wa kutoa maoni!