Hassan J. Mosoka
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 682
- 323
Mkuu Willy,
Ponda kama ni mhalifu anatakiwa ashugulikiwe kama mhalifu mwingine yeyote, na pia ana haki ya kuishi na ni jukumu la serikali kumhakikishia usalama wake na kisha afikishwe kwenye vyombo vya sheria na sheria ichukuwe mkondo wake tatizo kwenye hili saga na mengine mengi ni kitendo cha polisi walinda usalama kuamua kupiga watu risasi hovyo na juzi si umesikia wanasema walifyatua risasi kisha wanasema hatukumpiga risasi Ponda, what a none sense statement. Ninyi ccm mkiendelea kuwaangalia polisi kwa namna hiyo kuna siku watafanya unthinkable! Hivi kweli Ponda yule mzee ni wa kutumia nguvu kumkamata?? Yule mzee!!!!!!!!! shit give me a break
Ponda kama ni mhalifu anatakiwa ashugulikiwe kama mhalifu mwingine yeyote, na pia ana haki ya kuishi na ni jukumu la serikali kumhakikishia usalama wake na kisha afikishwe kwenye vyombo vya sheria na sheria ichukuwe mkondo wake tatizo kwenye hili saga na mengine mengi ni kitendo cha polisi walinda usalama kuamua kupiga watu risasi hovyo na juzi si umesikia wanasema walifyatua risasi kisha wanasema hatukumpiga risasi Ponda, what a none sense statement. Ninyi ccm mkiendelea kuwaangalia polisi kwa namna hiyo kuna siku watafanya unthinkable! Hivi kweli Ponda yule mzee ni wa kutumia nguvu kumkamata?? Yule mzee!!!!!!!!! shit give me a break