Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,956
- 4,144
Inauma sana mkuu!Bado kuna wajinga wanatembea na kadi za chama cha kijani mfukoni huku baadhi wakikwambia hatuoni mbadala wa hicho chama na wakati huo huo kutwa yanalilia na huduma mbovu za afya, maji, umeme, n.k.