Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
DEAR MZEE MATONYA WA UKWERENI....
Damn, Damn, Damn! Florida Evans would have cursed!
Damn, Damn, Damn, Mchungaji Kishoka is cursing!
Walahi huu Umatonya umetukaa fiti kama vile kushoneshewa suti kwa fundi pale Gerezani. Yaani bado tunalilia misaada na tunadai eti tunataka kujitegemea?
Nitataja kwa kifupi kwa nini Tanzania inashindwa kujitegemea na inategemea misaada na hivyo kauli za Viongozi siku zote ni kuomba omba na kung'ang'ania kuwa misaada ni muhimu na si kuimarisha uzalishaji wa mali na matumizi mazuri ya rasilimali zetu ndani ya nchi.
1. Serikali yetu ni kubwa mno, na haina ufanisi wala uwiano chanya kati ya ukubwa wake na matunda ya kazi zake.
2. Serikali, inapenda kutumia pesa kupita uwezo wake. Hakuna utamaduni wa kupunguza au kubana matumizi.
3. Serikali na Taifa zina mfumo mbovu wa fedha ambao unatoa mianya ya matumizi mabaya ya fedha, kukosekana kwa nyaraka, stakabadhi na mtiririko sahihi wa kihasibu na mahesabu katika matumizi ya fedha.
4. Viongozi wa Tanzania ni wavunjaji wa kanuni za sheria na mahesabu kwa kutumia nguvu za madaraka yao. Waziri au mtendaji, hutoa amri ya matumizi au kutumia fedha bila kuwa na fungu katika bajeti au kupangiwa, hivyo kujichotea kutoka fungu lolote kukidhi kauli na mahitaji ya mkubwa na si kuendana na bajeti.
5. Ulimbukeni wa ukarimu wa kijima, unatupunguzia mapato kwa kisingizio cha vivutio vya uwekezaji. Misamaha ya kodi na ushuru ni mikubwa sana na haiendani hata kidogo na ama kinachovunwa na mwekezaji au uwezo wa mwekezaji.
6. Udhaifu wa mipango na mikataba, ni moja ya mambo ambayo yanasababisha Taifa kupoteza mapato na kuishia kutumia fedha nyingi na kuombaomba badala ya kuwa makini na kujiongezea mapato na kuhakiki mipango kwa kutoa kipaumbele kwa mipango na matumizi ya lazima na yenye manufaa.
7. Hujuma. Iwe ni ufisadi, uvivu, uzembe, wizi au kukosekana kwa mwamko, Watanzania tunajihujumu wenyewe na hata kama leo tutadai Rostam, Somaiya, Manji, Mengi na Patel ni mafisadi, bado sisi wenyewe kama wananchi tunachangia kwa sehemu kubwa sana kuimarika kwa ufisadi.
Ukisoma habari hii hapa chini, inabidi ujiulize, je ni lini tutaamka na kubadilisha mwenendo wetu?
Rais Kikwete katembelea dunia na nchi tajiri wahisani kwa asilimia 40 ya muda wake aliokuwa madarakani, je tumefanikiwa kiasi gani kujiimarisha kiuchumi kwa kutumia nyenzo zetu wenyewe?
Je Tanzania tuko umbali gani kabla ya tumaini ka kujitegemea kuonekana hata kupata imani kutopka kwa wawekezaji na wafadhili kuwa tumeanza kwenda kwenye njia nyoofu?
Hii kauli aliyoisema Mzee Matonya wa Ukwere kuwa tunajitahidi tujitegemee, na tunafurahia misaada ni kauli iliyonidhoofisha na kuniambia kuwa ni wazi Serikali ya Tanzania, CCM au Watanzania bado hatujaamka na kuanza kuitutumua kwa vitendo na si maneno kuwa tunataka kkujenga Taifa linalojitegemea.
Hiki kipande kinatoka gazeti la Economist.
Waiting for that great leap forward
[SIZE=-2][FONT=verdana,geneva,arial,sans serif]May 7th 2009 | DAR ES SALAAM [/FONT][/SIZE]
[SIZE=-2][FONT=verdana,geneva,arial,sans serif]From The Economist print edition[/FONT][/SIZE]
Worries about one of east Africas steadier economies
THE country already gets 40% of its government budget in aid, but now it wants even more foreign cash to help it through the economic downturn. How much is enough? Tanzanias president, Jakaya Kikwete, smiles grimly. Were trying to bring down our dependency, but were grateful for what we receive.
With 44m people, Tanzania has often been given the benefit of the doubt simply for being the gentler twin of harsher Kenya, which has 40m. What it lacks in dynamism it makes up for in placidity and a common national identity. It is unlikely to fall apart at elections or any other time.
Its founding party of independence, Chama Cha Mapinduzi (CCM, the Party of the Revolution), formerly the Tanzanian African National Union, known as TANU, still suffocates the countrys ragtag opposition parties with its size and ponderous propaganda. Mr Kikwete is a CCM man; his breakthrough job was as the youthful head of political indoctrination for Tanzanias armed forces. He will almost certainly be returned to office with a big majority in elections next year. He still charms would-be investors with his sales patter.
Yet those who set up shop in the country are often disappointed. Tanzania, many complain, is a slow or even terrible place to do businessand ungrateful for foreign aid or investment. Even its boosters admit it is wrapped in red tape and lacks skilled workers. Almost everyone says Mr Kikwete is spending too much time burnishing Tanzanias image abroad and not enough fixing problems at home. Last year he chaired the African Union.
In any event, he hopes that aid will keep Tanzania afloat long enough for its economy eventually to make a great leap forward. Shiny new buildings even in provincial towns, along with new roads and water projects, signal optimism. Politics are stable. A rowdy separatist movement in the island of Zanzibar is quiet for now.
By Tanzanian standards there is a new sense of urgency. The energy ministry says it wants tenders immediately for a power station to cover a paralysing shortfall in electricity. Mr Kikwete turns up unannounced at state-owned outfits such as the port and the railways to demand efficiency and rail against corruption. He has also lambasted the countrys Wabenzi (those who drive a Mercedes-Benz).
But Mr Kikwete turns mournful when he spells out the effects of the global recession: missed government revenue targets; a cancelled sovereign-bond issue; projects for a nickel plant and a vast aluminium smelter put on hold; revenue from coffee down; cotton hit even harder; tourism suffering as well. An exception is gold, with new finds still to be exploited and the price holding up fairly well.
Tanzania may already, in some respects, be falling behind. A recent Chinese state visit failed to bring much investment. The government in Beijing thinks Kenya, not Tanzania, is the gateway to the mineral wealth of Congo. Tanzanias two main railways are rickety. The port of Dar es Salaam failed to pinch business from Kenyas port, Mombasa, when Kenya was in turmoil a year ago. No one seems to know how Tanzanias main port will hit its target of a tenfold increase in goods traffic by 2030. Tanzania is not even spending all the aid it is given. Last year, $2.4 billion of pledged funds were not disbursed.
Tanzania must also decide whether to integrate more closely into the East African Community (EAC), which includes neighbouring Burundi, Kenya, Rwanda and Uganda. It has dragged its feet over opening its borders and moving towards a common currency, though it recently insisted that a common market would get going next year. It suspects Kenya of using the EAC as a way of grabbing arable Tanzanian land on the cheap. And the countrys tiny middle class fears being swamped in a common market by better-qualified Kenyans and Ugandans. Moreover, the world crisis may bolster old socialists in the CCM who want a return to ujamaa, a failed model of rural collectivisation propounded by Tanzanias founding president, Julius Nyerere. That would set it back even further.
Tanzania waits for a leap forward | Waiting for that great leap forward | The Economist
Last edited by a moderator: