Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Kama Kawaida Leo Selebu ni Mrisho Mpoto aka Mjomba---#NW
Mavi matupu.
Huyo Mrisho mpoto nilimfuma anakula sambusa za nyama wakati ye anadai ni Rasta asiekula nyama.
Bongo selebu ni Amri Athuman peke yake...
Wengine woote hao ni sawa na mkia wa Mbuzi, haustiri uchi wala haufukuzi Nzi