King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,614
- 68,543
TBC1:kila J2 saa 3:30PM,Never miseeee!! Ukitaka ku-hang na selebu unayempenda ebu kodolea macho hicho kipindi na uweze jua jinsi ya kushiriki.
TBC1:kila J2 saa 3:30PM,Never miseeee!! Ukitaka ku-hang na selebu unayempenda ebu kodolea macho hicho kipindi na uweze jua jinsi ya kushiriki.
Bongo Kuna Celeb ?? TF
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Upuuz mtupu,nilikitupia jicho hicho kipindi hakina mvuto,production ni ya ovyo sana,mbaya zaidi mtangazaji mwenyewe anatuletea usalama jabir,wajipange upya na huo umarekani wao. Na mabodigurd wao wa kukodi wakati maceleb bongo tunapanda nao daladala.no reality.
kula like mkuu natumia mchina ningekugongea.
TBC1:kila J2 saa 3:30PM,Never miseeee!! Ukitaka ku-hang na selebu unayempenda ebu kodolea macho hicho kipindi na uweze jua jinsi ya kushiriki.
Hakuna Celeb Tanzania, ningekugongea like sema natumia simu hapa
TBC1:kila J2 saa 3:30PM,Never miseeee!! Ukitaka ku-hang na selebu unayempenda ebu kodolea macho hicho kipindi na uweze jua jinsi ya kushiriki.
Kipindi chenyewe wanatelezea tu kwenye tiles baada ya kumwaga mapovu na mlenda.. Wame copy na ku paste kipindi kinaitwa ''Played by Fame'' cha BET
kula like mkuu natumia mchina ningekugongea.