carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
hili la barua hili, dah we acha tu, mtu ulikuwa unapata mfadhaiko usipopata barua. Yaani unajifungia dom wakati wa rollcall ya jioni ili tu usikie mtu akija mbio fulaniiiiiiii, barua zako mwe! na majina yale ya yanayobamdikwa notice board kwa waliotumiwa pesa, ukikuta jina lako halipo amani yaote inapotea lol!Dah!
Mi ilikua nikienda paredi natega sana sikio kiranja anaposoma barua pale mbele. Na ukipata barua tu, sherehe bwenini.
Tamu zaidi, siku hiyo umepokea barua, jioni ratiba inasema msosi ni wali.
Loh nakuambia maandalizi kwanza unaoga maana si unajua tulikua milimani baridi kule. Huogi mpaka siku flaniflani spesho.
If i culd tan bak th hends ov taim! Lol