The Atheists Paradox

Embu niambie ni sifa zipi ambazo anazo Mila muumba ni kama za binadamu au ni sifa za binadamu.

Na itakuwa vizuri sana ukitoa ulingano wa sifa,mathalani,ukizungumzia sifa ya kusikia pia uonyeshe ulingano wa kusikia wa Mola mlezi unafanana vipi na kusikia kwa binadamu. Ukifanya hivyo utakuwa umetusaidia sana hasa hasa mimi.
Haya ndiyo yalikua maalizo yako ya awali kwangu

Na niliacha kujibu kwa kutaka kupata mtazamo wako kwanza

Labda tu niweke bayana kidogo

Sina shida juu ya ufananisho wa milango ya fahamu ya Mungu wako na binadamu

Yeye hata akiwa na ya ziada kwangu si tatizo

Ila shida ni yule Mungu anayehubiriwa kwenye vitabu vyenu

Ana Haiba ya kibinadamu kama
Hasira wivu kisasi n.k

Sifa mahususi kabisa kwa binadamu na viumbe wengine

Sasa hoja ni kwamba sijaona sababu ya yeye kuwa Mungu katika utukufu ule mnaompa

Kwa sifa dhaifu kama hizo zinazopelekea aonekane kama hana kazi ya kufanya na anayejitekenya kwa raha zake mwenyewe

Sijui umeelewa.....?
 
Haya ndiyo yalikua maalizo yako ya awali kwangu

Na niliacha kujibu kwa kutaka kupata mtazamo wako kwanza

Labda tu niweke bayana kidogo

Sina shida juu ya ufananisho wa milango ya fahamu ya Mungu wako na binadamu

Yeye hata akiwa na ya ziada kwangu si tatizo

Ila shida ni yule Mungu anayehubiriwa kwenye vitabu vyenu

Ana Haiba ya kibinadamu kama
Hasira wivu kisasi n.k

Sifa mahususi kabisa kwa binadamu na viumbe wengine

Sasa hoja ni kwamba sijaona sababu ya yeye kuwa Mungu katika utukufu ule mnaompa

Kwa sifa dhaifu kama hizo zinazopelekea aonekane kama hana kazi ya kufanya na anayejitekenya kwa raha zake mwenyewe

Sijui umeelewa.....?
Naona unajibi swali ambalo sikukuuliza.
 
Haya ndiyo yalikua maalizo yako ya awali kwangu

Na niliacha kujibu kwa kutaka kupata mtazamo wako kwanza

Labda tu niweke bayana kidogo

Sina shida juu ya ufananisho wa milango ya fahamu ya Mungu wako na binadamu

Yeye hata akiwa na ya ziada kwangu si tatizo

Ila shida ni yule Mungu anayehubiriwa kwenye vitabu vyenu

Ana Haiba ya kibinadamu kama
Hasira wivu kisasi n.k

Sifa mahususi kabisa kwa binadamu na viumbe wengine

Sasa hoja ni kwamba sijaona sababu ya yeye kuwa Mungu katika utukufu ule mnaompa

Kwa sifa dhaifu kama hizo zinazopelekea aonekane kama hana kazi ya kufanya na anayejitekenya kwa raha zake mwenyewe

Sijui umeelewa.....?
Inaonekana unapoteza kumbukimbu haraka sana. Unakumbuka kwanini nilikupa maelezo yaliyopita huko juu.

Sasa turudi kwenye swali langu la msingi,usikwepe swali nililokuuliza.

Ulisema Mola wetu ana sifa za mfanano na binadamu halafu mwisho unajikana mwenyewe.

Kuna kusoma na kielewa hoja na kujidai kusoma na kuona kama vile umeielewa hoja.
 
Haya ndiyo yalikua maalizo yako ya awali kwangu

Na niliacha kujibu kwa kutaka kupata mtazamo wako kwanza

Labda tu niweke bayana kidogo

Sina shida juu ya ufananisho wa milango ya fahamu ya Mungu wako na binadamu

Yeye hata akiwa na ya ziada kwangu si tatizo

Ila shida ni yule Mungu anayehubiriwa kwenye vitabu vyenu

Ana Haiba ya kibinadamu kama
Hasira wivu kisasi n.k

Sifa mahususi kabisa kwa binadamu na viumbe wengine

Sasa hoja ni kwamba sijaona sababu ya yeye kuwa Mungu katika utukufu ule mnaompa

Kwa sifa dhaifu kama hizo zinazopelekea aonekane kama hana kazi ya kufanya na anayejitekenya kwa raha zake mwenyewe

Sijui umeelewa.....?
Nyie watu huwa mnafanana sana aisee,na Mola wetu mlezi amewapa mtihani wa ufahamu kwa kujitakia wenyewe,sasa inakuwaje unajibu swali ambalo hujalielewa ?
 
Nyie watu huwa mnafanana sana aisee,na Mola wetu mlezi amewapa mtihani wa ufahamu kwa kujitakia wenyewe,sasa inakuwaje unajibu swali ambalo hujalielewa ?
Kunywa maji kidogo halafu tulia ili tuendelee....

Unaweza weka iyo hiyo palagraph ya maulizo yako au ukabold hiyo sehemu ya ulizo lako

Au yote ya yote ukalirudia ili twende sawa

Maana yawezakua ulilijenga kichwani ukasahau kutype.!

Ila naomba uliza kwa mpangilio mzuri basi
 
Kunywa maji kidogo halafu tulia ili tuendelee....

Unaweza weka iyo hiyo palagraph ya maulizo yako au ukabold hiyo sehemu ya ulizo lako

Au yote ya yote ukalirudia ili twende sawa

Maana yawezakua ulilijenga kichwani ukasahau kutype.!

Ila naomba uliza kwa mpangilio mzuri basi
Huu utoto ndio huwa siutaki aisee.
 
Kunywa maji kidogo halafu tulia ili tuendelee....

Unaweza weka iyo hiyo palagraph ya maulizo yako au ukabold hiyo sehemu ya ulizo lako

Au yote ya yote ukalirudia ili twende sawa

Maana yawezakua ulilijenga kichwani ukasahau kutype.!

Ila naomba uliza kwa mpangilio mzuri basi
Rejea post yako # 904 na usome post yangu # 909 .
 
Rejea post yako # 904
Iyo ndiyo niliyoitumia kujengea hoja ya Mungu mwenye sifa za kibinadamu_ tatizo lipo wapi.!?

na usome post yangu # 909 .
hii ndiyo niliyokujibu kupitia #922.. tatizo lipo wapi.?

Nimekwambia sina tatizo na milango ya fahamu

Au milango ya fahamu huijui ya binadamu.!?

Tatizo ni haiba yake inayojidhihirisha kupitia vitabu ugumu uko wapi.!?
 
Iyo ndiyo niliyoitumia kujengea hoja ya Mungu mwenye sifa za kibinadamu_ tatizo lipo wapi.!?

hii ndiyo niliyokujibu kupitia #922.. tatizo lipo wapi.?

Nimekwambia sina tatizo na milango ya fahamu

Au milango ya fahamu huijui ya binadamu.!?

Tatizo ni haiba yake inayojidhihirisha kupitia vitabu ugumu uko wapi.!?
Sasa kama huna tatizo kwanini unaleta ulingano huku ukiwa elimu ya kung'amua uyasemayo huna ?

Tatizo lipo sababu hujajibu swali na kwanini unajichanganya na kujikana ?

Unaijua milango ya fahamu ya Mola wetu ? Tuliza akili usome kilichoandikwa na kama hujaelewa sema upewe maelezo.

Wewe ulikiri Mola mwenye sifa za kibinadamu kisha wewe ukasema na ukakana ya kuwa huna tatizo na sifa hizo.

Sasa nikakuuliza ni upi usawa wa sifa za Mola na sifa za kibinadamu mpaka wewe ukaamua kumnasibisha kwazo Mola wetu. Hapa nazungumzia ulingano sasa kama hukuelewa tamko "ulingano" nimelitoa na kuweka tamko "usawa".

Ukizungumzia haiba ujue tunazungumzia sifa,ndio maana nikasema au huwa nasema nyinyi mna matatizo ya kurithishana ujinga.
 
Sasa kama huna tatizo kwanini unaleta ulingano huku ukiwa elimu ya kung'amua uyasemayo huna ?

Tatizo lipo sababu hujajibu swali na kwanini unajichanganya na kujikana ?

Unaijua milango ya fahamu ya Mola wetu ? Tuliza akili usome kilichoandikwa na kama hujaelewa sema upewe maelezo.

Wewe ulikiri Mola mwenye sifa za kibinadamu kisha wewe ukasema na ukakana ya kuwa huna tatizo na sifa hizo.

Sasa nikakuuliza ni upi usawa wa sifa za Mola na sifa za kibinadamu mpaka wewe ukaamua kumnasibisha kwazo Mola wetu. Hapa nazungumzia ulingano sasa kama hukuelewa tamko "ulingano" nimelitoa na kuweka tamko "usawa".

Ukizungumzia haiba ujue tunazungumzia sifa,ndio maana nikasema au huwa nasema nyinyi mna matatizo ya kurithishana ujinga.

Sasa kama huna tatizo kwanini unaleta ulingano huku ukiwa elimu ya kung'amua uyasemayo huna ?
walimu walipata tabu sana kukuza ufahamu wako

Nina maanisha hivi..sina tatizo kama Mungu wako anaona au anasikia au anaonja pia kama unagusa na vitu vikagusika na kunusa pia Sina tatizo na hivyo

Na ndio maana yangu ya milango ya fahamu

Na nilijibu kulingana na muktadha wa swali lako la kuhoji ulinganifu kwenye post yako ya #909 kuhusu kusikiliza

ILa wewe ulitaka niweke viwango vya decibell anavyotumia Mungu wako kusikiliza sala za waumini wake

Vinafananaje na wanavyotumia Ngumbaru kusikiliza hotuba za viongozi wao

Tatizo lipo sababu hujajibu swali na kwanini unajichanganya na kujikana ?
Nakujibu ila tatizo Mvivu..
Onesha nilipo jichanganya na kujikana

Unaijua milango ya fahamu ya Mola wetu ?
Nishakujibu

Tuliza akili usome kilichoandikwa na kama hujaelewa sema upewe maelezo.
kilichoandikwa kama kipi cha ajabu zaidi ya Contradiction kibao_huna jipya

Wewe ulikiri Mola mwenye sifa za kibinadamu kisha wewe ukasema na ukakana ya kuwa huna tatizo na sifa hizo.
Wapi nimekiri izo sifa za Mola wako wa kwenye kitabu..!?
Na sijui kama unachokiandika unakijua naona mauzauza Tu.!

Sasa nikakuuliza ni upi usawa wa sifa za Mola na sifa za kibinadamu mpaka wewe ukaamua kumnasibisha kwazo Mola wetu. Hapa nazungumzia ulingano sasa kama hukuelewa tamko "ulingano" nimelitoa na kuweka tamko "usawa".
Nimelizungumzia hilo kama hujaelewa tatizo ni lako si langu

Kabla sijazungumzi ni sifa zipi kupitia post yangu ya #904 ukarukia gari kwa mbele kwa swali la kuhoji ulilolijenga kimakosa

Ukizungumzia haiba ujue tunazungumzia sifa,ndio maana nikasema au huwa nasema nyinyi mna matatizo ya kurithishana ujinga.
Wewe na ndugu zako mliokaririshwa na kumezeshwa ndio wenye Matatizo

Tukiwaambia vitabu vyenu ni Madogoli ya Alien(exraterrestial being) hamtaki...!
 
walimu walipata tabu sana kukuza ufahamu wako

Nina maanisha hivi..sina tatizo kama Mungu wako anaona au anasikia au anaonja pia kama unagusa na vitu vikagusika na kunusa pia Sina tatizo na hivyo

Na ndio maana yangu ya milango ya fahamu

Na nilijibu kulingana na muktadha wa swali lako la kuhoji ulinganifu kwenye post yako ya #909 kuhusu kusikiliza

ILa wewe ulitaka niweke viwango vya decibell anavyotumia Mungu wako kusikiliza sala za waumini wake

Vinafananaje na wanavyotumia Ngumbaru kusikiliza hotuba za viongozi wao

Nakujibu ila tatizo Mvivu..
Onesha nilipo jichanganya na kujikana

Nishakujibu

kilichoandikwa kama kipi cha ajabu zaidi ya Contradiction kibao_huna jipya

Wapi nimekiri izo sifa za Mola wako wa kwenye kitabu..!?
Na sijui kama unachokiandika unakijua naona mauzauza Tu.!

Nimelizungumzia hilo kama hujaelewa tatizo ni lako si langu

Kabla sijazungumzi ni sifa zipi kupitia post yangu ya #904 ukarukia gari kwa mbele kwa swali la kuhoji ulilolijenga kimakosa

Wewe na ndugu zako mliokaririshwa na kumezeshwa ndio wenye Matatizo

Tukiwaambia vitabu vyenu ni Madogoli ya Alien(exraterrestial being) hamtaki...!
Nikisem hujibu swali langu ujue nina maanisha bro. Kati yangu mimi na wewe nani aliyeleta ulingano kati ya binadamu na Mola muumba ?

Bro ujue nakuvumilia sana aisee. Thamini muda wako na muda wangu pia.
 
walimu walipata tabu sana kukuza ufahamu wako

Nina maanisha hivi..sina tatizo kama Mungu wako anaona au anasikia au anaonja pia kama unagusa na vitu vikagusika na kunusa pia Sina tatizo na hivyo

Na ndio maana yangu ya milango ya fahamu

Na nilijibu kulingana na muktadha wa swali lako la kuhoji ulinganifu kwenye post yako ya #909 kuhusu kusikiliza

ILa wewe ulitaka niweke viwango vya decibell anavyotumia Mungu wako kusikiliza sala za waumini wake

Vinafananaje na wanavyotumia Ngumbaru kusikiliza hotuba za viongozi wao

Nakujibu ila tatizo Mvivu..
Onesha nilipo jichanganya na kujikana

Nishakujibu

kilichoandikwa kama kipi cha ajabu zaidi ya Contradiction kibao_huna jipya

Wapi nimekiri izo sifa za Mola wako wa kwenye kitabu..!?
Na sijui kama unachokiandika unakijua naona mauzauza Tu.!

Nimelizungumzia hilo kama hujaelewa tatizo ni lako si langu

Kabla sijazungumzi ni sifa zipi kupitia post yangu ya #904 ukarukia gari kwa mbele kwa swali la kuhoji ulilolijenga kimakosa

Wewe na ndugu zako mliokaririshwa na kumezeshwa ndio wenye Matatizo

Tukiwaambia vitabu vyenu ni Madogoli ya Alien(exraterrestial being) hamtaki...!
Bro mimi sijakamilika ila huna uwezo wa kukosoa hoja yangu hata kwa bahati mbaya katika hili tunalolijadili.

Ulianza kuthibitisha kisha ukajikana na ukazidi kukosea na umweona ulichokiandika hapo mwishoni ? Kinadhihirisha ni jinsi gani ulivyokuwa mtupu katika kadhia hii.

Nakusaidia bro,ulijipa jukumu zito ambalo wakubwa zako waliokutangulia hawakuwahi kuweza kulielezea iweje wewe ? Iko wapi mbingu na iko wapi ardho ?

Naendelea kukusaidia huwezi kuleta ulingano wa sifa za Mola na binadamu japokuwa uliandika kuashiria hilo.

Nimekomaa ujibu pale pale katika ulingano sababu najua huwezi kujibu hoja yangu,na nilitaka ujione ni jinsi gani unachokiandila hukijui.

Sasa ninapoelekea unaweza kujikataa mwenyewe.
 
walimu walipata tabu sana kukuza ufahamu wako

Nina maanisha hivi..sina tatizo kama Mungu wako anaona au anasikia au anaonja pia kama unagusa na vitu vikagusika na kunusa pia Sina tatizo na hivyo

Na ndio maana yangu ya milango ya fahamu

Na nilijibu kulingana na muktadha wa swali lako la kuhoji ulinganifu kwenye post yako ya #909 kuhusu kusikiliza

ILa wewe ulitaka niweke viwango vya decibell anavyotumia Mungu wako kusikiliza sala za waumini wake

Vinafananaje na wanavyotumia Ngumbaru kusikiliza hotuba za viongozi wao

Nakujibu ila tatizo Mvivu..
Onesha nilipo jichanganya na kujikana

Nishakujibu

kilichoandikwa kama kipi cha ajabu zaidi ya Contradiction kibao_huna jipya

Wapi nimekiri izo sifa za Mola wako wa kwenye kitabu..!?
Na sijui kama unachokiandika unakijua naona mauzauza Tu.!

Nimelizungumzia hilo kama hujaelewa tatizo ni lako si langu

Kabla sijazungumzi ni sifa zipi kupitia post yangu ya #904 ukarukia gari kwa mbele kwa swali la kuhoji ulilolijenga kimakosa

Wewe na ndugu zako mliokaririshwa na kumezeshwa ndio wenye Matatizo

Tukiwaambia vitabu vyenu ni Madogoli ya Alien(exraterrestial being) hamtaki...!
Bro nimekariri mara ngapi juu ya suala la sifa na umembwela kujibu,ukawa unaleta dibaji tu.

Nikasema na ninasema tena hata nikikupa miaka mitatu na ushee huwezi kuelezea sifa za Mola wangu,na ni muhali kwako kuzilinganisha na za binadamu kielimu.
 
walimu walipata tabu sana kukuza ufahamu wako

Nina maanisha hivi..sina tatizo kama Mungu wako anaona au anasikia au anaonja pia kama unagusa na vitu vikagusika na kunusa pia Sina tatizo na hivyo

Na ndio maana yangu ya milango ya fahamu

Na nilijibu kulingana na muktadha wa swali lako la kuhoji ulinganifu kwenye post yako ya #909 kuhusu kusikiliza

ILa wewe ulitaka niweke viwango vya decibell anavyotumia Mungu wako kusikiliza sala za waumini wake

Vinafananaje na wanavyotumia Ngumbaru kusikiliza hotuba za viongozi wao

Nakujibu ila tatizo Mvivu..
Onesha nilipo jichanganya na kujikana

Nishakujibu

kilichoandikwa kama kipi cha ajabu zaidi ya Contradiction kibao_huna jipya

Wapi nimekiri izo sifa za Mola wako wa kwenye kitabu..!?
Na sijui kama unachokiandika unakijua naona mauzauza Tu.!

Nimelizungumzia hilo kama hujaelewa tatizo ni lako si langu

Kabla sijazungumzi ni sifa zipi kupitia post yangu ya #904 ukarukia gari kwa mbele kwa swali la kuhoji ulilolijenga kimakosa

Wewe na ndugu zako mliokaririshwa na kumezeshwa ndio wenye Matatizo

Tukiwaambia vitabu vyenu ni Madogoli ya Alien(exraterrestial being) hamtaki...!
Hiwa nasema inabidi muwe mnafundishwa jinsi ya kuhoji,kujibu na kuuliza maswali kama hujui hizi ni elimu pweke zenye kujitegemea sio mnakaririshwa ma nadharia ya wajinga wakubwa wa kale na wa sasa. Lazima mchelewe kufika kwenye kilele cha umakinifu wa hojaji.
 
Nikisem hujibu swali langu ujue nina maanisha bro. Kati yangu mimi na wewe nani aliyeleta ulingano kati ya binadamu na Mola muumba ?

Bro ujue nakuvumilia sana aisee. Thamini muda wako na muda wangu pia.
Unanivumilia kwa lipi..!? We kama nani kwanza.!

Iyo aisee yako inaonesha huna adabu au sumu imepanda.!?

Inaonekana ningekuwa karibu ungenitwanga ngumi au unakaribia kunitukana

Na nani Aliyekuambia kwanza post inaoza..!?

Nenda kafanye shughuli zako ukipata muda hata mwakani utaikuta tu ipo vilevile

Mimi natumia muda wa ziada kuongea na ndugu zangu humu na naamini wote wako ivyo

Sijui wewe...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom