KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Tatizo magamba hata wakimsimamisha Kenge atakuwa rahisi kwakuwa dola ndo hutumika kuibia kula!!wewe unadhani zile shahada zilizokutwa kule Tamesa zilikuwa za uganda??Jibu unaloMembe hawezi kuwa Raisi wa nchi hii
Hana jina kwa watanzania kama alivyokuwa kikwete
watanzania wengi wana tegemea CCM wataweka Magufuli, sitta, mwandosya, mwakyembe au Lowasa nje ya hapo ni kushindwa mbaya bora waweke chenge kuliko membe