kingxvi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 879
- 150
Membe bado uwezo wake wa kuongoza ni mdogo, namfananisha na JK wote wanamvuto yaani ma HB lakini uwezo wa kwa kuwa rais NO, isipokuwa JK ambaye udini ulimbeba sana baada ya Mkapa aliyeongoza kwa muda wa miaka kumi muda wake kwisha.
membe HB? Na pua lake lile kama skonzi au hb unamaana nyingine?