Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana kuhusu ligi yetu. Ukiangalia Chelsea kacheza Jumamosi na Jana iumanne kacheza why Simba tunawekwa ubwete sana.
Niwaambie viongozi wa Simba kama wanaona kukaa tu bila kucheza mechi kisa mashindano ya kimataifa tunashusha viwango vya wachezaji. Mimi ni mwanasimba lakini kwenye hili linafikirisha mno kama akili yako inafanya kazi vizuri. Yanga wamecheza Jumamosi na Jumatano wamecheza why Simba tu.
Wanasimba tusione kama TFF wanatufanyie roho nzuri lakini wanatuuuaaa bila sisi kujijua. Simba inawachezaji wengi wazuri lakini kwa sbb hawapati mechi fitness ndio maana wachezaji siku ya kaizer walikuwa kama wameleweshwa kitu.
Tuna AME hachezi, Athumani hachezi, kennedy hachez, morrison hachez, ndemla hachezi n.k
Niwaambie viongozi wa Simba kama wanaona kukaa tu bila kucheza mechi kisa mashindano ya kimataifa tunashusha viwango vya wachezaji. Mimi ni mwanasimba lakini kwenye hili linafikirisha mno kama akili yako inafanya kazi vizuri. Yanga wamecheza Jumamosi na Jumatano wamecheza why Simba tu.
Wanasimba tusione kama TFF wanatufanyie roho nzuri lakini wanatuuuaaa bila sisi kujijua. Simba inawachezaji wengi wazuri lakini kwa sbb hawapati mechi fitness ndio maana wachezaji siku ya kaizer walikuwa kama wameleweshwa kitu.
Tuna AME hachezi, Athumani hachezi, kennedy hachez, morrison hachez, ndemla hachezi n.k