Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Kuna taarifa zisizo rasmi kuwa Tibaigana na kamati yake kwa mara nyingine eti ameirudishia yanga Point zake tatu ambazo walikuwa wamepokwa juzi kwa kumchezesha Canavaro. kama kweli basi nitaachana na soka la bong! Soma hapa kwa habari zaidi.
BIN ZUBEIRY: TIBAIGANA AWAREJESHEA YANGA POINTI ZAO
BIN ZUBEIRY: TIBAIGANA AWAREJESHEA YANGA POINTI ZAO