Game Theory I
Member
- Nov 28, 2011
- 32
- 8
Heshima mbele,
Wadau wiki liyopita huyu "mtoto mkubwa wa pili wa kiume" wa JK kaweka picha mbili za viongozi wabunge na mawaziri,Wassira na Komba katika ukurasa wake wa Facebook wakiwa wamelala, https://www.facebook.com/mkikwete (Wassira ni mshirika wa JK na ****** anamuamini,jana alikuwepo wakati JK anakutana na CDM) na juzi juzi Mtanzania Daima wamerusha habari kwamba dogo,a.k.a Teja kaitetea CDM kwamba ni chama cha Watanzania.Vipi,ndo harakati za JK kuitosa CCM zimeanza?
Wadau wiki liyopita huyu "mtoto mkubwa wa pili wa kiume" wa JK kaweka picha mbili za viongozi wabunge na mawaziri,Wassira na Komba katika ukurasa wake wa Facebook wakiwa wamelala, https://www.facebook.com/mkikwete (Wassira ni mshirika wa JK na ****** anamuamini,jana alikuwepo wakati JK anakutana na CDM) na juzi juzi Mtanzania Daima wamerusha habari kwamba dogo,a.k.a Teja kaitetea CDM kwamba ni chama cha Watanzania.Vipi,ndo harakati za JK kuitosa CCM zimeanza?