Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Wana JF habari za ndani za Idara ya fedha za Bunge zinasema zile posho nono za wabunge zimeshindikana kulipika kutokana na kelele za wananchi na hali halisi ya fedha serikalini,pia kiasi fulani kilichotengwa kitaenda Afya ili kupunguza migongano japo wabunge hawajataarifiwa na hadi leo hawajapata saeating allowance ila ni perdieem tu ya 1200000 ndo zimelipwa jana kwenye akaunti zao...
Mkuu ni typing error au ni kweli wanalipwa perdieem mil1.2
I wish it is the typing error Mungu wangu!