Tetesi; Eti Jay Dee ameenda kupandikizwa mimba (artificial insemination)

SirBonge

JF-Expert Member
Jul 18, 2010
378
435
Nimeinyaka kutoka kwenye chanzo kiaminifu kwamba JIDE kule Ufaransa amepandikizwa mimba kwani hana uwezo wa kushika kwa njia ya kawaida, kitaalamu wanaita Artificial insemination, yaani mbegu za kiume zinachukuliwa na kupandikizwa kwenye mji wa mimba kwa vifaa maalum. Nakutakia kila la kheri dada!
 
Nimeinyaka kutoka kwenye chanzo kiaminifu kwamba JIDE kule Ufaransa amepandikizwa mimba kwani hana uwezo wa kushika kwa njia ya kawaida, kitaalamu wanaita Artificial insemination, yaani mbegu za kiume zinachukuliwa na kupandikizwa kwenye mji wa mimba kwa vifaa maalum. Nakutakia kila la kheri dada!
Mhn................. Labda...........
 
Nimeinyaka kutoka kwenye chanzo kiaminifu kwamba JIDE kule Ufaransa amepandikizwa mimba kwani hana uwezo wa kushika kwa njia ya kawaida, kitaalamu wanaita Artificial insemination, yaani mbegu za kiume zinachukuliwa na kupandikizwa kwenye mji wa mimba kwa vifaa maalum. Nakutakia kila la kheri dada!
Mmhhh, tenda zingine kwa nini hatupewi sisi tukaonyesha urijali wetu. Huyo mume wake ameshindwa kumpachika mimba mtoto portable namna hiyo.
 
Mimba ya nani? Gadna au ya yule mwana JF mwenzetu BUJIBUJI?

hapa huwa wanaweza tumia mbegu za mwanaume yoyote ikiwa mme wake sio rijali kwa hiyo usishangae mtoto akafanana na mimi kwa sababu nimechangia sana sperm banks za nchi mbalimbali
 
this is jamii forum......
Nimeinyaka kutoka kwenye chanzo kiaminifu kwamba JIDE kule Ufaransa amepandikizwa mimba kwani hana uwezo wa kushika kwa njia ya kawaida, kitaalamu wanaita Artificial insemination, yaani mbegu za kiume zinachukuliwa na kupandikizwa kwenye mji wa mimba kwa vifaa maalum. Nakutakia kila la kheri dada!
 
kwahiyo kama ndivyo ilivyo, halafu inakuaje sasa!!
unagurahi, unachukia au inakuaje...........sielewi unataka nini baada ya tetesi yako kuwa kweli.
 
Nimeinyaka kutoka kwenye chanzo kiaminifu kwamba JIDE kule Ufaransa amepandikizwa mimba kwani hana uwezo wa kushika kwa njia ya kawaida, kitaalamu wanaita Artificial insemination, yaani mbegu za kiume zinachukuliwa na kupandikizwa kwenye mji wa mimba kwa vifaa maalum. Nakutakia kila la kheri dada!

Sasa wewe hayo yanakuhusu nini; ni mambo yake binafsi. Haikusidii kufuatilia mambo ya watu binafsi.
 
hapa huwa wanaweza tumia mbegu za mwanaume yoyote ikiwa mme wake sio rijali kwa hiyo usishangae mtoto akafanana na mimi kwa sababu nimechangia sana sperm banks za nchi mbalimbali



Mbona Gadna ana mtoto alizaa na mke wake wa kwanza, au jide mayai yake ndo problem?
 
Back
Top Bottom