Nimeinyaka kutoka kwenye chanzo kiaminifu kwamba JIDE kule Ufaransa amepandikizwa mimba kwani hana uwezo wa kushika kwa njia ya kawaida, kitaalamu wanaita Artificial insemination, yaani mbegu za kiume zinachukuliwa na kupandikizwa kwenye mji wa mimba kwa vifaa maalum. Nakutakia kila la kheri dada!