Tetesi, CEO DAWASCO ANG'OLEWA.

Kashaija

JF-Expert Member
Aug 7, 2008
255
58
Kuna habari kwamba yule CEO jeuri sana wa Dawasco (Alex Kaaya) ameng'olewa na kupewa barua ya kuripoti haraka sana katika Mamlaka ya maji Musoma. Hata hivyo kwa mujibu wa tetesi hizo, ni kwamba kutokana na jeuri ya pesa nyingi alizochuma ndani ya Dawasco kwa kipindi kifupi amekataa kwenda Musoma na hivyo ameandika barua ya kujiuzuru kazi.

Mwenye taarifa kamili amwage hapa.
 
Kuna habari kwamba yule CEO jeuri sana wa Dawasco (Alex Kaaya) ameng'olewa na kupewa barua ya kuripoti haraka sana katika Mamlaka ya maji Musoma. Hata hivyo kwa mujibu wa tetesi hizo, ni kwamba kutokana na jeuri ya pesa nyingi alizochuma ndani ya Dawasco kwa kipindi kifupi amekataa kwenda Musoma na hivyo ameandika barua ya kujiuzuru kazi.

Mwenye taarifa kamili amwage hapa.
nimeulizia dawasco hq hamna taarifa hiyoooo
 
Kuna habari kwamba yule CEO jeuri sana wa Dawasco (Alex Kaaya) ameng'olewa na kupewa barua ya kuripoti haraka sana katika Mamlaka ya maji Musoma. Hata hivyo kwa mujibu wa tetesi hizo, ni kwamba kutokana na jeuri ya pesa nyingi alizochuma ndani ya Dawasco kwa kipindi kifupi amekataa kwenda Musoma na hivyo ameandika barua ya kujiuzuru kazi.

Mwenye taarifa kamili amwage hapa.
nimeulizia dawasco hq hamna taarifa hiyoooo
 
By the way huyo jamaa is a very good performer and has a good stand. Sijawahi kusikia kashfa zake hata kidogo. anyways leta issue.
 
By the way huyo jamaa is a very good performer and has a good stand. Sijawahi kusikia kashfa zake hata kidogo. anyways leta issue.

He was agood Lowassa stooge, remember mikwara ya bill ya Mwakyembe (Mb) baada ya kutumwa na Lowassa kuhit back?
 
Yote hiyo ndo mbinu za mafisadi.Usidhani kaondolewa hivihivi,Mafisadi na hasa mawaziri ndo wanaokwamisha maendeleo ya nchi.hawapendi kuona mtu anapiga kazi vizuri.Wote wenye madeni Dawaso wako masaki,mikocheni, oYsterbay Mbezi beach Na upanga. Hawapendi kulipa bili za maji hawa.Wote hawa mawaziri na mafisadi walaaniwe kwa nguvu zote
 
He was agood Lowassa stooge, remember mikwara ya bill ya Mwakyembe (Mb) baada ya kutumwa na Lowassa kuhit back?

Huyu jamaa ni mchapa kazi namkubali sana nenda Dawasco uone mabadliko bili siyo za kubuni tena na kama una matatizo unaskilizwa mara moja,vishoka vya kuunganishia watu maji bila mmpango hamna,tatizo letu wetu tunachanganya siasa na kazi!
 
He was agood Lowassa stooge, remember mikwara ya bill ya Mwakyembe (Mb) baada ya kutumwa na Lowassa kuhit back?

Lole, well sina habari na hiyo hoja yako. Lakini this Guy kama ulishawahi kusikiliza strategies zake na jinsi alivyobadilisha hiyo kampuni, utatamani umweke kwenye sector nyingi ambazo zimekuwa na uzembe mkubwa. Kinachonifurahisha sana ni misimamo yake ambayo haifungani na mtu yeyote. Utaweza kulidhihirisha hili kutokana na kero za maji kupungua kwa asilimia kubwa sana jijini dar ukilinganisha na wakati kabla anachukua office. Najua bado kuna mapungufu mengi but the guys is a GOOD PERFORMER. I think with this i stand to support him sana. Nimekuwa nikifuatilia sana mambo this guy can be the more or less as MAGUFULI. Where they first study situatuion, give out appropriate stategies and execute those strategies without fear. Ni wachache wa namna hii katika nchi yetu.
 
Hilo ndo tatizo la kwetu bongo.....yaani mtu anayefanya kazi vizuri...ndo anawekewa zengwe!......anyway.....Miafrika ndo tulivyo (NN)!


Kazi nzuri ipi! Sijapata maji ya bomba kwangu huu mwaka wa pili lakini bili kila mwezi naletewa! hadi sasa nadaiwa eti Laki sita na ushee hivi!! Huu ni wizi mtupu!!!
 
Kazi nzuri ipi! Sijapata maji ya bomba kwangu huu mwaka wa pili lakini bili kila mwezi naletewa! hadi sasa nadaiwa eti Laki sita na ushee hivi!! Huu ni wizi mtupu!!!

Sasa naamini kweli baadhi yetu watanzania ni warahisi sana kusahau. Sikatai mapungufu kama unayoyataja, lakini situation ya maji ilikuwa mbaya sana kabla ya uongozi wa huyu jamaa. Ndugu yangu KYAKYA just rudi kidogo kabla huyu jamaa hajaingia ofisini assess ile situation then ulinganisha na sasa. Utakubaliana nasi kwamba jamaa ni mchapa kazi.
 
Mafisadi hawalipi bili za maji ; Sophia Simba alikamatwa kajiunganishia maji kiwiziwizi[waziri wa utawala bora!!}; Subash Patel jizi juzi kakamatwa anaiba maji kwenye hoteli zake whitesands!! .Sasa hawa ndio hawampendi Kaaya!!
 
Mafisadi hawalipi bili za maji ; Sophia Simba alikamatwa kajiunganishia maji kiwiziwizi[waziri wa utawala bora!!}; Subash Patel jizi juzi kakamatwa anaiba maji kwenye hoteli zake whitesands!! .Sasa hawa ndio hawampendi Kaaya!!


So wanampa fundisho sio?
 
Yote hiyo ndo mbinu za mafisadi.Usidhani kaondolewa hivihivi,Mafisadi na hasa mawaziri ndo wanaokwamisha maendeleo ya nchi.hawapendi kuona mtu anapiga kazi vizuri

JAMANI SIO WOTE MAFISADI WENGINE NI VIJIFISADI....MBONA HATA NUSU YA RICHKIKWETE AJAFIKISHA...ANGEKUWA ACTIVE KILA SEHEMU ....MMMH SIJUI
 
So wanampa fundisho sio?



Manundu!

Ningefurahi kama wangemtoa kwanza huyo Waziri wa Maji taka and then aondolewe huyo aliyemweka Waziri!

Kupata maji we need to change the Serikali ya CCM that means remove Kikwete!

Huyo Kaaya aliwekwa na Mmeru mwenzake Teddy Lowasa!! You ask Lowasa Mkapa, Malecela na yule Nassoro wa Super Doll ( Anaendesha Mtibwa kwa niaba ya Mkapa na Kagera Sugar inayomilikiwa na fAMILIA YA MAREHEMU DR. OMAR ALI JUMA) Zile USD 150million mkopo wa WB za kufufua City water ziko wapi?

Can Jakaya Mrisho Kikwete come in the open and make a statement on this!!!

Ufisadi wa CCM is historical. You can't go ahead bila kutizama nyuma if you want to be safe!

Kwa sisi tuliokulia kijijini that is the rule of the thumb you have to look back after every corner!!

Wanajamii mpo common wake up!
 
By the way huyo jamaa is a very good performer and has a good stand. Sijawahi kusikia kashfa zake hata kidogo. anyways leta issue.

Dar assured more reliable water supply
By Bilal Abdul-Aziz, IPP Media
Sun, Jul 24, 2005
Edward_Lowassa.jpg


The Dar es Salaam Water and Sewerage Corporation (Dawasco) introduced its new Board of directors with a promise to redress the water situation in Dar es Salaam.

Water and Livestock Development Minister Edward Lowassa, inaugurated the 9-member Dawasco Board of Directors and its 100-day rescue plan at a colourful ceremony held in Dar es Salaam on Friday.

The government formed Dawasco in May this year, to replace the private water firm, City Water Services Ltd, which failed to deliver water services, as per contractual agreement.

In his statement on the occasion, the minister said that the new state authority must work hard to meet expectations, as the government and the people of Dar es Salaam want it to deliver and nothing else.

’’The water situation in the city is still bad… as your slogan says, ’our unity is our success,’ I urge you to work together and meet expectations of the government and people,’’ said Lowassa.

He said that the government and people wanted the new authority to increase revenue collection, curb rampant illegal connections and arrange a reliable water-rationing schedule.

’’We are facing a great challenge of proving that local initiatives and the local people can do even better than foreigners,’’ he said, adding that Dawasco’s partnership with the National Water and Sewerage Corporation of Uganda was promising and timely.

The government of Uganda once hired a foreign private firm to deliver water services in Kampala City, but they faced similar problems, terminated the contract and gave the responsibility to a state corporation, which was doing a good job, he said.

Lowassa said that Dawasco must solve the problem of leakage in its distribution system, provide water kiosks in areas not covered by its distribution system and improve workers’ remuneration.

He commended Dawasco for drawing the 100-day rescue plan and described it as a promising initiative that had already recorded good results only in its first six weeks of implementation.

Hinting on some of the achievements of the plan, he said that the corporation had increased revenue collection by 12.5 per cent, from 1.05bn/- in May to 1.2bn/- last month.

Additionally, he said a number of areas, which had never enjoyed a drop of tap water for years, had started getting water and earned the authority more revenue.

He added that Dawasco, in collaboration with Dawasa, which implements the 164bn/- World Bank and African Development Bank funded project, can make a difference and bring water back to the city.

Earlier, Dawasco Chief Executive Officer, Alex Kaaya, said that his corporation had inherited many problems from City Water, including a demoralized staff, poor infrastructure, illegal connections, incorrect water bills and low distribution capacity.
He explained that the amount of water pumped in the distribution system daily is 254,000 cubic metres, which is 90 per cent, but only 45 per cent of it reaches customers.

Thousands of gallons of water are being lost on the way due to leaks and unauthorized connections, Kaaya said. He said that his corporation would adopt an approach that the water authority in Kampala employed with success, and said his team was optimistic to prove right local initiatives and efforts in service delivery.

Kaaya said that Dawasco would also use a special brand, which was launched yesterday with the intention of making it known to all people it serves in offices, homes and streets.

The 100-day rescue plan, implemented from this month to September, had been targeted to curb illegal water connections and increase revenue collections, he said, adding that a one-year plan would be drawn later to follow the current plan.

On her part, the Chairman of the inaugurated Board of Directors, Blandina Nyoni, said there was a tough job ahead, but promised that the new authority would deliver and meet expectations of the government and people of Dar es Salaam.

’’Dawasco is set to meet goals and expectations. It will honour its workers and customers,’’ she said. Government notice number 139 of May 20, 2005 formed Dawasco, under the law governing public institutions of 1992, according to the minister. The new authority started work officially on June 1, this year.

Shapu,
Kama hujasikia kashifa za Kaaya, basi soma porojo za Lowassa hapo juu ili uone Kaaya na ndugu yake Lowassa walivyotafuna pesa yetu tuliyokopa World Bank, TShs. 164/= Bilioni, kwa ajili ya uboreshaji maji Dar lakini hadi leo bomba zetu bado kavu na hao Wameru mpaka leo hawajatuambia jinsi walivyozitumia.
 
Ukiona hivyo ujue aliambiwa Weka Sahihi Yako Hapa ili Tule Bwana Mdogo, yeye akasema NO, SITAKULA RUSHWA!

Wakamwambia, Unajifanya mjanja, eee? Basi subiri!

Kapewa KONG'OLI!

Ufisadiiiii!
 
Back
Top Bottom